Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
hawataweza.....mimi mmoja wa wapiga kura nimesema.
Kwa anayefahamu......Tunaomba majina ya wabunge waliowasilisha hoja........
Hiz n dalili kuwa wananch kuona bunge,lingehamasisha zaid watu sehemu mbalmbal za nch kudai haki zao.siamin kama kuna tatizo la kiufund kwan vyombo hiv vimekuwa vikirusha watangazo hata viwanja vya waz,njian,sasa iweje leo vishindwe?himaya inaanguka.
spika wa bunge asiwasingizie wabunge huo ni mpango wa serikali ya magambaSpika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
Jenga hoja si matusi, hisia zangu ndo zinaonyesha hivyo..!Stupid...!
Ndo mwisho wa ccm mafisadi
Poleni sana mliokuwa mnaitegemea Dullonet katika kipindi hiki cha Bunge, lakini kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wetu hatujaweza kuweka live kwa siku hizi tatu, lakini tuko katika mchakato wa kurudisha huduma hiyo na mungu akipenda wiki ijayo mambo yote yatakuwa safi na tutawahabarisha jinsi ya kutupata, Poleni sana na tunashukuru kwa kuthamini mchango wetu.
Dullo
Asante kwa ufanunuzi, niwekee hapa namba yako ya cm nikuulize zaidi
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012