Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Asante kwa ufanunuzi, niwekee hapa namba yako ya cm nikuulize zaidi
Namba ni 0755533355
Asante kwa ufanunuzi, niwekee hapa namba yako ya cm nikuulize zaidi
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
Natafuta legislation ya wananchi juu ya Bunge lao...Powers za raia ni za kiwango gani towards Bunge?Mi nafikiri cha msingi tuanzishe utaratibu wa kukusanya saini zetu ambazo tutaanda na muhtasari wa vikao vyetu na kuandamana nchi nzima mpaka ikulu na kumalizia Dodoma mjengoni kuung'oa utawala wa kisultani wa mama Makinda,tumechoka hatuhitaji kuchezewa akili na kufanywa wanasesere
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.