Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.
Anaogopa kuonekana akitokwa na udenda.
Unafiki wa Mrema ulianzia hapa, siku ile Kikwete apoapishwa kwa ushindi wa kura za wizi!
![]()
Anajishehua tu, mbona leo kenye magazeti Bunge limetoa taarifa na kusema kuwa Bunge litaonyeshwa, bali wanataka kuweka special Camera na pia kuna mpango wa kuanzisha TV ya Bunge, na wamesema Dr. Kashililia alikuwa mus-quoted!.
Mbunge wa Vunjo
mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila
kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora
kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na
gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta
maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo
akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
komba lazima atakuwepo kwenye list.
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.