Bunge Lisionyeshwe LIVE - Wabunge!

Bunge Lisionyeshwe LIVE - Wabunge!

Habari za uzushi bana.! hakikisha unapata habari sahihi kabla hujasema. Mtambo wa kurushia matangazo wa TBC Dodoma una hitilafu kwa hyo wakimaliza kufanya marekebisho watarusha matangazo kutoka bunguni
 
ITAWANUFAISHA NYINYIEMU A.K.A MAGAMBA, make hapo wakina wasila watakuwa wanaingia na mashuka pamoja na zile net za OBAMA ndani ya ukimbi wa Bunge na kuchapa Usingizi bila wasiwasi

.
Ni lazima tuwajue wabunge waliopendekeza huo ----- na tuhakikishe hawarudi tena bungeni na kila wakipita majimboni wazomewe. Wavivu wa kufikiri waliolewa madaraka.
.
 
Mbona hawa jamaa wanataka kuifanya Tanzania kuwa nchi isiyo nabunge, hivi kwa wanachi wa leo hii unadhani utapitisha hilo na watu tukae kimya tu, hawajifunzi kwa yanayoendelea mtwara.

Kisa watu wamepiga kelele kuhusu posho zao ndio imekuwa tafrani.
Kwanza wabunge wangekuwa wanalipwa kutokana na performance na wanavyotekeleza majukumu yao badala ya huu mfumo wa kuwamwagia hela bila kujali wanafanya nini, naona hii ndio inawafanya wasahau wajibu wao na kuja na hoja za kipuuuzi kama hizi.
 

Attachments

  • 6.jpg
    6.jpg
    10.9 KB · Views: 73
Wanajipanga hata bunge la katiba mpya lisionyeshwe kwa wananchi.! Masikini Magamba wanajichimbia shimo wenyewe!!!!!!!!
 
Habari za uzushi bana.! hakikisha unapata habari sahihi kabla hujasema. Mtambo wa kurushia matangazo wa TBC Dodoma una hitilafu kwa hyo wakimaliza kufanya marekebisho watarusha matangazo kutoka bunguni

asante marin
 
Habari za uzushi bana.! hakikisha unapata habari sahihi kabla hujasema. Mtambo wa kurushia matangazo wa TBC Dodoma una hitilafu kwa hyo wakimaliza kufanya marekebisho watarusha matangazo kutoka bungeni
na kwanini mtambo uwe na hitilafu mpaka bunge linaanza haujarekebishwa?
 
Hapa kuna hoja CCM wanataka kuzipitisha, ambazo ni lazima zipite kwa manufaa yao. Kumbukeni 2013,2014,2015 ni miaka muhimu sana. kunaissue za katiba mpya, mambo ya uchaguzi ndogo mpaka kubwa, pesa za uswiswi na mambo mengine mengi sana ambayo yanaweza kuizamisha CCM yakiwa live. So hiyo ni njia ambayo imekubalika mpaka na vyombo vya habari na ndio maana baada ya mkutanao wao mkuu vyombo vya habari kwa asilimia 90 vinaiandika CCM vizuri na kuponda wapinzani. Naomba tuangalie mbali zaidi tutaona kitu.

Labda tuwe kama wana wa Mtwara.
 
Hawa ni wangese ....wakati wenzetu Kenya...Parliamentary commetee,Special Enquiries,commission .. or investigation commetee, Interview za Parastatal or keys post zote zinafanyika under Camera........hapa kwetu ....hata Hilo bunge wanataka kujificha Kama wachawi....
We want more transparency ...in gorvernence.....
 
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!

CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
Kama kawaida yao hawapendi kuona tukishuhudia utumbo wao.........:bowl::target:
 
Asiyetaka kuonekana live na ajitoe ubunge simple. Unajua hoja yao hii ni kujijengea mazingira ya kukwepa kipindi cha mchakato majimboni when it comes to 2015? Wengi wao hawana hoja ila vijisenti walivyopata kwa njia zisizo halali. kwahiyo chochote kikija live hawataki. Wataumbuka
hii hoja yako inatekelezeka kwa wenye akili na maadili mkuu!
 
Transmission Van imeharibika sa watafanyaje,kuweni wapole mambo yatakuwa poa.
Imeharibika siku ya kuanza Bunge?
Kwani Bunge hili ni la zimamoto halikuwa na maandalizi?
Huenda kulikuwa na utambulisho wa hoja tete, ndiyo maana wakacollude na TBC kuwa kitu isiende hewani!
 
Watalala sana bungeni na hivi baadhi yao kwa mujibu wa Ndugai huingia bungeni huku wamepiga usiga na sigara kali aka sigara kubwa hapo tutarajie vitimbwi hasa kutoka kwa wabunge wa magamba
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!

CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
 
Anazeeka vibaya huyi bibi kizee wa Njombe. Anajaribu kuzuia maji kwenye njia yake? si ndo anaandaa uharibifu. Nafikiri hawazi mara mbili nguvu ya M4C.
 
Back
Top Bottom