DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,591
- 17,712
Aliyewahi kuwa Waziri asiye na Wizara Maalum na pia Waziri wa Ardhi, Maliasili na Utalii, Pia Katibu Mkuu wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Wanawake Na Rais wa kwanza wa Bunge la Umoja wa Mataifa, Balozi Dkt Getrude ibengwe Mongela Ameshauri Rais kuwasikiliza wananchi na kuacha kuwasikiliza wapambe wengine wanaume ambao wanataka kumpotosha..
Lakini pia baadhi ya wazee wameanza kujitokeza kushauri serkali hasa nini kifanyike na kutoa ushauri jinsi ya kufanya...ili tuweze kusonga mbele..
Nini Maoni yako wewe?
Nini Maoni yako wewe?