Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Mwl.Nyerere aliwasema sana ile May Mosi 1995 kule mbeya viongozi wa serikali wanauza mashirika ya UMMA alishangaa sana, hii nikutokana viongozi kuwa na tamaaa za ajabu, Kuipinga azimio la Arusha, urafi wa madaraka, kutokuwa waadilifu, wazalendo, kadri siku zinavyo kwenda maozo yote aliyoyasema baba wa Taifa yatajitokeza huyo mzee aliwaachia raana hawa viongozi wetu, tena enzi hizo hawa viongozi walikuwa ni vijana kabisa sasa ndio worse kabisa wanazeeka na watakufa na vitu vyote vya UMMA
Mwl.Nyerere aliwasema sana ile May Mosi 1995 kule mbeya viongozi wa serikali wanauza mashirika ya UMMA alishangaa sana, hii nikutokana viongozi kuwa na tamaaa za ajabu, Kuipinga azimio la Arusha, urafi wa madaraka, kutokuwa waadilifu, wazalendo, kadri siku zinavyo kwenda maozo yote aliyoyasema baba wa Taifa yatajitokeza huyo mzee aliwaachia raana hawa viongozi wetu, tena enzi hizo hawa viongozi walikuwa ni vijana kabisa sasa ndio worse kabisa wanazeeka na watakufa na vitu vyote vya UMMA