Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Hongera Iddi Simba kwa kuingia rasmi katika CCM, sasa mapacha watatu watatu imekamilika.
mimi nimeshaanza kulia....dar ilikuwa dar enzi hizo,,..sio leo fujo tunashindwa hata pa kukanyaga,..Natamani kulia nikiikumbuka hii kumbakisa
Hamna mtu aliyeloose direction,kuna watu wanafikiri kama wewe ni mwanachama wa CCM,basi wewe ni fisadi au unatetea ufisadi.But let's get back to the topic.
akipewa huyo SIMON hiyo part haitotimia na VIPANYA watakuwa wanamnunua kila siku ili hasiwekeze zaidi
shughuli ya usafirishaji ni huduma sio biashara
sisi tuna nini? tuige basi huko tunakokwenda safarini kila siku, NEW YORK (metro, london underground na buses zote ni za council na sio hiyo miji tu ni yote ) wenzetu wanamiliki usafiri kama umma
Sasa TAKUKURU wanasubiri tuwapelekee ushahidi!! Prosecuter bwana Feleshi Unasubiri nini kesi ipo wazi? Ama kweli Tanzania sheria ni kwa ajili ya Maskini tu na Vibaka wadogo!! Shame on this country!!
<br /><font size="4"><font color="#ff0000">Sasa TAKUKURU wanasubiri tuwapelekee ushahidi!! Prosecuter bwana Feleshi Unasubiri nini kesi ipo wazi? Ama kweli Tanzania sheria ni kwa ajili ya Maskini tu na Vibaka wadogo!! Shame on this country!!</font></font>
<br />I gues Kisena atakua katika kikao na mdogo wake ,mtoto mjini mjini
<br />mambo baaaado! tz mambo baaaado, nasema mambo baado! kenya wanazidi kuingia, hata kwa usafiri wa bodaboda wanavuka mipaka, wahindi ndo usiseme, wachina wanaingia makontena kwa makontena utafikiri bidhaa, yote hayo nikukimbilia shamba la bibi, shamba hili jama muda si mrefu litakuwa janga, kila leo linavamiwa na nguruwe pori. looh!
Mali ya umma inauzwa pesa zinakwenda kwa account binafsi ya Mwenyekiti wa Bodi, Duh! kweli ili ni fumbo lenye maswali mengi kuliko majibu.
Huyu Mwenyekiti wa Body Iddi Simba si ndiye aliyeuwa Waziri wa Viwanda na Biashara na kulazimishwa kujiuzulu mwaka 2002 kwa kashfa ya kutoa vibali vya kuingiza sukari Tanzania?, baadae akapewa Shilrika la Umma la Wakala wa Meli Tanzania (NASACO ) akaliuwa chap-chap. Baada ya hapo kumbe safari iliendelea na kupewa shirika lingine la Umma - UDA. Sasa nalo analiuza na pesa kutia kwapani (akaunti yake binafsi). anyway nitarudi baadae.
So sad,lakin wanasema kelele za mpangaji<br />
<br />
Huyu bwana Mdogo mbona mambo yake ya mashaka mashaka, rafiki zake nao wa mashaka mashaka? Mie nadhani kuwa mtoto wa rais kisha kujiingiza kwenye deal za mashaka mashaka au kuwa na marafiki wenye records chafu ni jambo ambalo linastahili kukemewa sana na hasa na BABA YAKE (Rais mwenyewe).huyu kisena nae chizi tu.iweje aweke pesa kwenye akaunt ya mtu binafs bila kudadisi eti kisa management ya UDA imesema!!!!
halafu huyu kisema ni rafiki mkubwa sana na ridhiwan kweli wameingizwa choo cha kike......huyu huyu idd simba ni mwizi toka zaman hata hiyo pride tanzania anaiendesha kiwizi wizi tu
He has lost direction and erection.That's where you lost the direction.Chadema inaingiaje tena hapa?? watu mnaiogopa chadema kiasi kwamba kila kitu lazima mki-associate nayo??
Binafsi nawashukuru wale ambao walituletea hili jambo kwa mara ya kwanza; japo hoja ya awali ilikuwa ni suala la kuuzwa tu kwa sisi wengine kilichotutisha zaidi ni mantiki ya kuuzwa kwake as it relates to DART. Bado hoja haijajengwa vizuri ya kuiunganisha DART na UDA kwa sababu bado - tusipoangalia - watafanya vile walivyofanya kwenye TRL ambapo pamoja na kuibinafsisha vibaya bado wanafikiria kubinafsisha tena!
UDA ni lazima irudishwe mikononi mwa wananchi wa JIji la DAR iwezeshwe na kwa kuanzia ipewe wa kuingiza mabasi mapya makubwa ya UMMA yasiyopungua 150 lengo likiwa ni kuhakikisha ndani ya miaka mitano linafikia kuwa na mabasi yake ya UDA-DART (UDART?) KAMA 2000 Hivi na zaidi. Lengo kuu liwe ni kuhakikisha vipanya na vidaladala vinaondolewa Dar usafiri wa mabasi unatolewa na shirika la Umma ambalo pita litasimamia ujenzi wa light rail transit. Wafanyabiashara wengine waachiewe kuingia kwenye biashara ya Taxis, tour transportations, na short distance transportation.