CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Natamani kulia nikiikumbuka hii kumbakisa
Tumeambiwa kuwa huyu Robert Kisena na kampuni yake ya Simon Group nia yao kubwa ni kumiliki fixed assets za UDA, kwa maana ya majengo na ardhi, haswa yard ya UDA kubwa sana kule Kurasini iliyopo karibu kabisa na Bandari ili baadaye waigeuze kuwa Container Terminal. Nakumbuka enzi zangu za shule ya msingi miaka ya 80 kabla ya daladal, ukikamatwa huna tiketi kwenye UDA, basi utapelekwa kwenye hiyo yard yao kule Kurasini kusafisha mabasi. Mimi naombea dili nzima ifie mbali, na hata hizo milioni 270 alizolipa asirudishiwe, na ikibidi aende Mahakamani kudai arudishiwe.
Lengo kuu liwe ni kuhakikisha vipanya na vidaladala vinaondolewa Dar usafiri wa mabasi unatolewa na shirika la Umma ambalo pita litasimamia ujenzi wa light rail transit. Wafanyabiashara wengine waachiewe kuingia kwenye biashara ya Taxis, tour transportations, na short distance transportation.
Binafsi nawashukuru wale ambao walituletea hili jambo kwa mara ya kwanza; japo hoja ya awali ilikuwa ni suala la kuuzwa tu kwa sisi wengine kilichotutisha zaidi ni mantiki ya kuuzwa kwake as it relates to DART. Bado hoja haijajengwa vizuri ya kuiunganisha DART na UDA kwa sababu bado - tusipoangalia - watafanya vile walivyofanya kwenye TRL ambapo pamoja na kuibinafsisha vibaya bado wanafikiria kubinafsisha tena!
UDA ni lazima irudishwe mikononi mwa wananchi wa JIji la DAR iwezeshwe na kwa kuanzia ipewe wa kuingiza mabasi mapya makubwa ya UMMA yasiyopungua 150 lengo likiwa ni kuhakikisha ndani ya miaka mitano linafikia kuwa na mabasi yake ya UDA-DART (UDART?) KAMA 2000 Hivi na zaidi. Lengo kuu liwe ni kuhakikisha vipanya na vidaladala vinaondolewa Dar usafiri wa mabasi unatolewa na shirika la Umma ambalo pita litasimamia ujenzi wa light rail transit. Wafanyabiashara wengine waachiewe kuingia kwenye biashara ya Taxis, tour transportations, na short distance transportation.
<br />Hivi Iddi Simba ni mjinga hivi?? Nilikuwa namuona mtu wa maana na sera zake za uzawa kumbe ana lake! Kweli nimeamini hata kwenye CCM wapinga ufisadi si kweli wanapinga ufisadi bali wana ajenda yao nyingine!
OOh! now it's Symbion?,what's the correlation? You have to take a stance,to privatise or not to privatise and how to go about that stance that you take.See what I mean ? How does Chadema come into this ! Of course you are very right to call the issue of system crap because the likes of Symbion, like all parasites, cannot survive on their own. If you shelter filth, dont blame the flies and the cockroaches that come for a visit and end up settling permanently because of the comfort and security accorded them. Since you have chosen not to lay any blame on the system that owns the habitat for fisadis to flourish, what more can I say - good luck though not for long young man !
<br />vitu vtatu vifanyike, <br />
1) Iddi Simba atoe maelezo ya malipo hayo, na afikishwe mahakamani mapema<br />
2) Management ya UDA ilio elekeza pesa ziwekwe kwenye private account ya Iddi Simba ichukuliwe hatua za kisheria<br />
3) Mr Kisena wa Simon Group, HAsirudishiwe hizo hela, na uchunguzi ufanyike kujua anafahamu kiasi gani mchezo huu mzima<br />
<br />
hii serikali haipo serious, hii UDA si ilikua imekufa muda mrefu tu, hiyo management na board zilikua zinafanya kazi gani miaka yote hii, walikua wanalipwa kwa kazi ipi?
<br />Natamani kulia nikiikumbuka hii <b>kumbakisa</b><br />
<br />
<img src="http://1.bp.blogspot.com/_CcHV2wFn640/SMvfZe7OY0I/AAAAAAAADPA/Mc9CbFN_b_A/s400/UDA.jpg" border="0" alt="" />
<br />Kwa kasi hii ya kuibua ufisadi tanzania nadhani tunaelekea pazuri sana! nimeona hapo nukuu kwamba kuna watu wamejificha ndani ya uoza huu, can it be the one(s) discussed here?, riz1 & co?, <br />
<br />
na huyo kisena, mbona wanatofautiana sana na simba kuhusu hizo fedha, ndio kusema tayari mwizi kaibiwa? Mungu ibariki tanzania, Mungu nibariki mimi na familia yangu
Nyie ngojeni tu mambo yatafumuka ndio tutajua template ya ufisadi inavyofanya kazi. Simba anasema fedha alizopewa ni za "usafirishaji" na jamaa labda aliamini ndio alikuwa analipia UDA. Kilichoenda kwa mganga kwa kweli hakirudi.. Kisena afungue kesi dhidi ya waliomuuzia.. Masaburi, Milanzi na Simba... sisi wengine tutakaa pembeni kuona jinsi gani tusivyoweza kufanya vitu vya msingi..
Hamna mtu aliyeloose direction,kuna watu wanafikiri kama wewe ni mwanachama wa CCM,basi wewe ni fisadi au unatetea ufisadi.But let's get back to the topic.That's where you lost the direction.
Chadema inaingiaje tena hapa?? watu mnaiogopa chadema kiasi kwamba kila kitu lazima mki-associate nayo??
Sasa TAKUKURU wanasubiri tuwapelekee ushahidi!! Prosecuter bwana Feleshi Unasubiri nini kesi ipo wazi? Ama kweli Tanzania sheria ni kwa ajili ya Maskini tu na Vibaka wadogo!! Shame on this country!!