jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 630
kwenu ndio kunakucha cc kwetu kulishakucha zaman sana mkuuWe si umesema bukoba hakuna majengo hayo .shida mnaibeza sana na kupaponda bk sana hasa watu wakilimanjaro ndo maana tumeamua kuwaonesha bukoba halisi inayokua kwa kasi na kupanuka haraka .hilo jengo ni nyumba ya kuishi ya Anna tibaijuka ambayo aliijenga kwa heshima ya Mme wake aliyazaliwa hapo kibeta mlimani na wanaishi ndugu wa Mme wake
yan tunawachora tu