fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,542
MBONA KAMA BAR YA MASSAWE TOFAUTI NI HAYO MAANDISHI YA BUKOBA AIRPORTOK hii ni bukoba aiport![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
magufuli amashaanza mchakato wa kuipanua zaidi ifikie km 2 ili jengo la wasafiri linalopokea watu laki 5 kwa mwaka sawa na terminal 1 ya jkIA liweze kutumika ipasavyo na ndege kubwa ziweze kutua pale kisa wingi wa wasafiri wanaoelekea bukoba.na pia kashozi road itaamishiwa migera ili upanuzi ufanyike watu walishaanza kuhamishwa![]()