Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Oi kaitaba stadium ambayo ukiondoa ya dar hii ndo INA mfumo wa tiketi za electronic na ni wa tatu kwa ubora tz baada ya azam na taifa moshi muuchore
9f26492b01ab032d3e08eb9d6aca7c17.jpg
ad39e3e7b01fdc652f7c69196f29d8cf.jpg
78cd531f3120fe2a802802636b843be2.jpg
e14303344a744cac9241a8feed282dc7.jpg
26a967ed39ff214a6067d420eb22212b.jpg
3d4ec4b72fe1a305042235feee50a680.jpg
618f38500e0c2e5cc741e6a44e50f5e1.jpg
d7b09321145979a98f4556df35bca307.jpg
cea98ff3931ec58b0bd7a23baa36c78b.jpg
76322f7a19567827bffc33a348f0128b.jpg
 
Oi kaitaba stadium ambayo ukiondoa ya dar hii ndo INA mfumo wa tiketi za electronic na ni wa tatu kwa ubora tz baada ya azam na taifa moshi muuchore
9f26492b01ab032d3e08eb9d6aca7c17.jpg
ad39e3e7b01fdc652f7c69196f29d8cf.jpg
78cd531f3120fe2a802802636b843be2.jpg
e14303344a744cac9241a8feed282dc7.jpg
26a967ed39ff214a6067d420eb22212b.jpg
3d4ec4b72fe1a305042235feee50a680.jpg
618f38500e0c2e5cc741e6a44e50f5e1.jpg
d7b09321145979a98f4556df35bca307.jpg
cea98ff3931ec58b0bd7a23baa36c78b.jpg
76322f7a19567827bffc33a348f0128b.jpg
Moshi hata timu ya mpira ya ligi kuu haipo
 
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Yaani bwa mdogo unachekesha! Yaani unaona Morogoro inaizidi Bukoba???? Au unadanganywa na kuwa karibu na Dar
 
Ok mkuu, ngoja niende huko nikavinjari, kiwanja cha kuchangamka ni kipi hapo?
Kuna coffee tree inn,pk top hills hotel kama unapenda milima na perfect na BCD Stella maris,kolping hotels,kyanyi resolt,elct,q bar,kilitime,smart,na beach kama kiroyera, bunena,Miami,na kabuhara na pia kuna Lina's, na Casanova na liquid lounge nk nitachoka kuzitaja zote
 
Yaani hizo picha za Moshi wanazoonesha sehem chache wanazirudia rudia ndo mnasema Moshi panaizidi Bk?
Wanarudia picha zilezile na zingine za arusha na iringa eti ni moshi moshi padogo sana mkichokonoa nitawaletea vilima vya bk 70 % ya mji hapa sijavileta
 
Moshi katika picha
snow%20view%20hotel.jpg
pdwm.php

Kama mlikua hamjui pia Moshi kuna mbuga ya wanyama
pics_for_moshi.jpg
machameeeeee.jpg
tanzanie_kilimandjaro38_c_raylat.jpg

Amazing
Moshi ina mbuga ya wanyama??? Kuna watu mmelewa kabisa! Moshi hakuna mbuga za wanyama, zipo wilaya zingine za Kilimanjaro. Huu uzi ni "Bukoba" na sio Kagera vs "Moshi" sio Kilimanjaro! Tulieni mpigwe hivyo hivyo
 
Kuna coffee tree inn,pk top hills hotel kama unapenda milima na perfect na BCD Stella maris,kolping hotels,kyanyi resolt,elct,q bar,kilitime,smart,na beach kama kiroyera, bunena,Miami,na kabuhara na pia kuna Lina's, na Casanova na liquid lounge nk nitachoka kuzitaja zote
Asante kiongozi
 
Bukoba tena
d6e30e19494e6f3f3c6cc140c0b15ac7.jpg
bugabo house
a999704aa08cd61e4fa25ddb4b9cd5c2.jpg
rwabizi plaza
5c3294f26e7487e357a289651166bd62.jpg
kaitaba stadium
a63f704afa06bd8d57435d427649dddf.jpg
bukoba miembeni
da89e8ca1bc2cd295499e79327ed847f.jpg
c3e41fe17ac929cf018772efcc721fef.jpg
buyekera bukoba
975073f81cfacdbb87f350b9ccc5a208.jpg
nyakanyasi
eb73dff483f1acbf913b92ad87196c54.jpg
mkoani
d717e431511be4ef5e78c96a27400d8c.jpg
ae75a342ce5c8d12f97eee28730fb8cd.jpg
kilimahewa
Kama unaifahamu Moro vizuri na bukoba huwezi fananisha huo uchafu wa bukoba na Moro au moshi, bukoba linganisha na kigoma,TABORA,Shinyanga na mara
 
Kama unaifahamu Moro vizuri na bukoba huwezi fananisha huo uchafu wa bukoba na Moro au moshi, bukoba linganisha na kigoma,TABORA,Shinyanga na mara
Maneno hayasaidii na Mimi naweza kusema chato inaizidi dar kwa maneno tu leta picha mbona picha za moshi hamleti mkileta mnaleta vijiji na wilaya nyingine au hata miji mingine kama mwanza, arusha, iringa nk hata picha hamna.nakwambia na ushaidi naleta wa picha bukoba inaigalagaxa moshi
 
Hujui usemalo na bukoba unaisikia tu redioni .nilishasema siku nyingi wachaga siku hizi MNA majivuno mengi sana na matusi mengi bukoba ingekuwa haina kitu ingehitaji meli kubwa zenye uwezo wa kubeba watu 3000 zote wa kuelekea huko INA maana wanaenda kufanya nini wakati moshi mabasi hata watu miatano hawafiki kwa siku ikizingatiwa na bukoba mabasi yapo


BK ni majanga tu, uzuri ni kwamba hata wewe mwenyewe unajuwa hili. Hiyo idadi ya watu wapandao meli kutoka BK kwenda Mwanza ni kwa ajili ya kutafuta mahitaji na kujiuza kwani Mwanza ndiyo mji mkubwa kwa kanda ya ziwa.....hata kusafisha picha (negative kipindi kile) ilibidi mpiga picha mpaka aipeleke Mwanza kwanza kuoshwa. Mahitaji yote makubwa mpaka Mwanza, jiji la Bukoba limekaa kihasara sana, tofauti kabisa na majivuno ya wahaya wa Mwananyamala, Tandale, Sinza, Makaburi ya Kinondoni, Uwanja wa Fisi. Ni hasara tupu.
 
Tuonyesheni mji anaowakilisha Zitto tucheke jamani. Kajamaa kako kanabishana na uongozi uliotukuka kutafuta kick anasahau hata na kupeleka maendeleo jimboni kwake, kajamaa kana dhambi ile mbaya.....yaani anawasahau wananchi wake kweli?
 
BK ni majanga tu, uzuri ni kwamba hata wewe mwenyewe unajuwa hili. Hiyo idadi ya watu wapandao meli kutoka BK kwenda Mwanza ni kwa ajili ya kutafuta mahitaji na kujiuza kwani Mwanza ndiyo mji mkubwa kwa kanda ya ziwa.....hata kusafisha picha (negative kipindi kile) ilibidi mpiga picha mpaka aipeleke Mwanza kwanza kuoshwa. Mahitaji yote makubwa mpaka Mwanza, jiji la Bukoba limekaa kihasara sana, tofauti kabisa na majivuno ya wahaya wa Mwananyamala, Tandale, Sinza, Makaburi ya Kinondoni, Uwanja wa Fisi. Ni hasara tupu.
Habu niachane na wewe eti bukoba inaitegemea mwanza wakati mwanza penyewe mbali.mwanza ndo inaitegemea bukoba kwa chakula kama ndizi,sukari,majani na bidhaa nyingi kutoka mtukula.b tena ukija kuangalia bk INA uhusiano mkubwa na mtukula mji wa biashara,masaka,mbarara na miji kama Kigali kuliko mwanza maana ni karibu mfano toka mtukula hadi bk 3000 tu na ktk Kampala 10000 wakati mwanza 20000.pia huo mzunguko uliopo wa meli na mabasi huwezi ona mzungujo wa hela uliopa hasa bandari za bk na kemondo.yaani bk sehemu changamfu sana ni bandari,stendi,rwamishenye kwa sababu ya utransit wake,kashai na mwaloni bila kusahau mjini kati.watu wataokuja kwa meli watahitaji daladala,kula ,kulala nk hivyo vyote ufanya mzunguko wa hela kuwa mkubwa tofauti na moshi isiyo na bandari
 
n kichaa pekee anaweza fananisha mji msafi kuliko yote tz yaan moshi na ka mji kalikodumaa bukoba ambKo hata stand tu ya mabasi n vumbi
mzunguko wa hela moshi b Mara 500 ya bukba
moshi INA biashara nyingi mno
makampun makbw yapo moshi
bukoba tetemko liliwaumbua vijumba vya ajabu mjin
 
Habu niachane na wewe eti bukoba inaitegemea mwanza wakati mwanza penyewe mbali.mwanza ndo inaitegemea bukoba kwa chakula kama ndizi,sukari,majani na bidhaa nyingi kutoka mtukula.b tena ukija kuangalia bk INA uhusiano mkubwa na mtukula mji wa biashara,masaka,mbarara na miji kama Kigali kuliko mwanza maana ni karibu mfano toka mtukula hadi bk 3000 tu na ktk Kampala 10000 wakati mwanza 20000.pia huo mzunguko uliopo wa meli na mabasi huwezi ona mzungujo wa hela uliopa hasa bandari za bk na kemondo.yaani bk sehemu changamfu sana ni bandari,stendi,rwamishenye kwa sababu ya utransit wake,kashai na mwaloni bila kusahau mjini kati.watu wataokuja kwa meli watahitaji daladala,kula ,kulala nk hivyo vyote ufanya mzunguko wa hela kuwa mkubwa tofauti na moshi isiyo na bandari
ingia web ya tra uangalie kati ya mishi na bukoba n IPI inachangia hela nyingi kwa maana y GDP then urd hapa
bukoba n ka mji ka hovyo kuwahi kutokea yaan stand n vumbi vijumba vimebanana utdhan hakuna mpango mji
nenda moshi uone mijengo ilivyopangiliwa
 
moshi mji msafi kuliko yote tz eti uifananishe na bukoba ambayo vinyumba vimebanana hata sehemu ya kutema mate hakuna unachekesha
alafu bukba hakuna daladal hili n ajabu jingine l karne ya 21
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom