Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hebu tuenjoy ukijani wa bukoba
52ce2728d7872a4c6567b4eb60cf73ac.jpg
249122052991b44bf4aff87a8a087ede.jpg
3c0a4e41d47e7464c6f0e3ff304a48ec.jpg
feb0777b08e7b71298935feecf2a2a74.jpg
4881e3a08751484ccfd32fa2269c5de8.jpg
330043d5f96749af21b9098088eabac6.jpg
cc49d4c0f6a1f51f52a15c64032304bc.jpg
b3a44f7854f9d6748f07cb73b3e25f89.jpg
39a885fd4178bf08399474cd5e1a348f.jpg
5e21ec9cf60a709a4f888b472d5d4fd5.jpg
4d146b75ea5c32a7acbc24f51e20c65e.jpg
9e4b0c719349103c8ce5006e17fec869.jpg
 
Bukoba pa kiboya huwezi fananisha na moshi mji mdogo ila umepangika haswa lami kila upande
 
Duuuuu naweza sema naijuwa bukoba vizuri sana. Kuanzia BUKOBA MJINI, VIJIJINI, MISENYI, KARAGWE,nk.yaani kifupi naijuwa KAGERA. Kiukweli kuilinganisha BUKOBA MJINI NA MOSHI MJINI ni kituko sana. Labda mseme moshi haina fukwe za Ziwa tuu lakini vingine vyote hapana. Stendi yenyewe tope. Zikipaki gari kubwa 30 imejaa kabisa. Ivo ukiwa umeshatembelea na Moshi uje.
Stendi mpya inayojengwa hii hapa
d374139a6df8bb98fee51d1cea6ac0b5.jpg
b0f1121395e8b8b2b549b6c79e1a2d51.jpg
d0c75fa7aa3df9f1e1589e6054d20390.jpg
15102f2b428ce79d6dae2f0c0631d2ea.jpg
 
Rombo hiyo inazidiwa na kemondo mbali sana tena sana.na moshi mkizubaa kemondo itawazidi hasa meli ikianza safari zake huko
Mkuu nilipitia uzi wao mmoja unaoonesha rombo nilishangaa sana maana niliishia kuona jengo moja la hospitali I think ni ya wilaya inaitwa Huruma hospital. So kwa majengo yaliyoporomoshwa pale kemondo kwakweli itabidi watu wa rombo wanishawishi tena tofauti na rombo niliyoiona humo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom