Tatizo la watu wa Moshi matusi na vijembe sana, ndiyo maana Bukoba imewazalaza bakola za kutosha, kama ni picha leteni acheni maneno mengi, alfu kutukana kunaonesha ni watu wa aina gani, matusi ya hivyo ni watu ya washamba sasa kama nyinyi mna sifa ya usomi alfu ustaarabu sifuri hapana kabisa.
Watu wa Moshi msifanye hivyo shindaneni na watazeni wa kimaendeleo, kwangu naona Bukoba ina inyanyasa vibaya Moshi pamoja na tofauti kubwa zilipo katika miji yote miwili, Moshi wanaweka zile picha za Hotel zilizoko pembezoni mwa mji wa Moshi alfu wanasema ni vijijini!!!
Sikatai Moshi ina miundo mbinu imara ya maji, umeme na barabara, lakini Bukoba pia kwenye suala la umeme, Afya kwa sasa ina fanya vizuri, Bukoba haina shida sana na maji ila Maji ya bomba ndiyo tatizo kwa Bukoba ukilinganisha na Moshi.
Naombeni watu wa Bukoba pia njooni na picha za vijijini hasa kule Muleba (Kamachumu) Misenyi, Kyaka na Kyerwa,
Nawatakieni league njema Bukoba vs Moshi.