Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Kuna amani Hanna matukio ya uhalifu pia watu wa kule wakarimu sana sio wabaguzi kama unavyoonagaga jamii za wamasai, wameru na wachaga kdg kule arusha
Wanakata Kolomeo hao Wahaya acha kabisa
 
Unavyofikiria sivyo mji Wa bukoba una kilometa za mraba 90 huku moshi ikiwa na 59 hivyo kiukubwa bukoba ni kubwa kuliko moshi. Kwa location bukoba iko location nzuri ukizingatia imepakana na Uganda. Rwanda,Burundi, na Kenya kupitia ziwani,kimzunguko Wa pesa ni mkubwa hasa uwepo Wa bandari, nchi nyingi zilizozunguka,vyuo vingi saut,jocuko,katoke,na open.pia viwanda ni vingi tanika,bunena water,Victoria chalks,vicfish,chai yetu,asilia water,Kabanga water, Mali juice,viwanda vya mafuta ya kujipaka,kagera sugar,viwanda vya maziwa,na balimi,.tena bk IPO katikati ya mwanza na mtukula ambayo miji kuna masoko ya Africa mashariki,biachara ya ndizi ndo usiseme watu ni wengi na bukoba bado INA sehemu kubwa ya kujenga nyumba kuliko moshi ambayo imebanwa na vijiji. Nakushangaa usemapo moshi itangazwe jiji ?
Kweli wewe Mhaya eti inapakana na Kenya na Burundi...Viwanda kama Balimi etc aaah Bukoba bado saana kwanza watu wa huko bado wanasumbuliwa na funza aka jiggers
 
Bukobaa mkoa au kitukoo??
Bukoba tena hiyo picha nyingine hizo
02beafad4e7b989a16397fc60bf22da5.jpg
485f5ff921b1927493a7bb5e03e7e3e9.jpg
bk watalii hapo pembeni mwa ziwa
2fd27d1b39888cc5e10fb06a8006a90e.jpg
8a5bb68e822c3d87629f51ba714760af.jpg
637b4892767e6572802cf96ec5c0ddbe.jpg
cb1f32e1497abccda8bc9df45fb4d3bb.jpg
28665258d00debe92d1ae2e566d4e785.jpg
mtaani
20c0efaa0afc05a5ba45912ee8afa708.jpg
be85136fdea387a75b2906ee21ee7c66.jpg
ihungo hiyo
9c5e18f0e5ff9a1031ed2e79a3c79375.jpg
086101eafc71a9b90c1d338bf1084610.jpg
8dd4d8a89b4a1ce75a5a9599d1080a19.jpg
kahororo
bf22e08dfb128a1340ffebe5a80636de.jpg
 
Kweli wewe Mhaya eti inapakana na Kenya na Burundi...Viwanda kama Balimi etc aaah Bukoba bado saana kwanza watu wa huko bado wanasumbuliwa na funza aka jiggers
Matusi ya nini kiwanda cha balimi so kipo mtaa Wa national housing karibu na secondary ya kashai na kiwanda cha asilia maji. Mkoa Wa kagera kupitia wilaya ya ngara unapakana na Burundi na ziwani kenya
 
Vitu vya ajabu wakati kuna picha watz tubadilike
fd4b145d6f2c9dd4369d5f9639bba5cb.jpg
 
Wahaya tunawajua hamiishi kujisifia sema sisi hatuna shida na mtu watulivu
 
Embuu mnatuaibishaa mosh unalinganishaa na arushaa embuu tuachen na nyiee atuna uo mdaa
 
Baada ya huu Uzi anzisheni wa Sumbawa nga vs. Lindi
 
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Mkuu mbona Tabora sijaiona hapo!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom