Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

tusiwaonee sana FB...hata JF wapo mbona (whisper)
Screenshot_2018-12-06-08-02-22.jpeg
Screenshot_2018-12-06-08-02-44.jpeg
 
hata humu jamii forum kuna vituko "better die for something than living for NORTHING"
 
Hatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
Nimekupenda bure, maana hata mimi ni mdau wa kiswahili na sipendi baadhi ya watu wanavyokibananga kwa kuchanganya na kiingereza hatimae kuwa "kiswanglish"
 
Kakosea kuchanganya kiswahili na kiingereza "kiswanglishi" halafu hilo neno la kiingereza "Rest In Peace" au RIP kwa kifupi hutumika kwa watu waliotangulia mbele ya haki yaani Marehemu/Hayati.
sisi tunaangalia maana ya neno hatuangalii linatumika wapi kwani "rest in peace "maana yake nini?
 
sisi tunaangalia maana ya neno hatuangalii linatumika wapi kwani "rest in peace "maana yake nini?
"Rest In Peace" maana yake pumzika kwa amani. Lakini ikiwa unataka kuijua lugha na kuitawala sawa sawa ni vema kujua aina ya maneno na yanatumika wakati gani na sehemu gani!! Ukiangalia maana ya neno bila kujali linatumika wapi unaweza kuchekesha wagonjwa na kupotosha watoto.
 
"Rest In Peace" maana yake pumzika kwa amani. Lakini ikiwa unataka kuijua lugha na kuitawala sawa sawa ni vema kujua aina ya maneno na yanatumika wakati gani na sehemu gani!! Ukiangalia maana ya neno bila kujali linatumika wapi unaweza kuchekesha wagonjwa na kupotosha watoto.
kwani kupumzika kwa amani ni mpaka uwe umekufa?
 
kwani kupumzika kwa amani ni mpaka uwe umekufa?
Kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili "Rest In Peace" au "Pumzika kwa Amani" imekaa kiroho zaidi kwa maana Marehemu/Hayati akiisha fariki mwili unazikwa lakini roho inakwenda kusubiri hukumu siku ya mwisho. Lakini ukiwa hai unaweza kupumzika lakini siyo kwa amani maana bado changamoto zinakusubiri.
 
Kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili "Rest In Peace" au "Pumzika kwa Amani" imekaa kiroho zaidi kwa maana Marehemu/Hayati akiisha fariki mwili unazikwa lakini roho inakwenda kusubiri hukumu siku ya mwisho. Lakini ukiwa hai unaweza kupumzika lakini siyo kwa amani maana bado changamoto zinakusubiri.
inategemea Sasa na aliesema amelenga kumaanisha kitu gani
 
Back
Top Bottom