Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,624
- 69,377
ChattleKiangaza tena!kinapatikana wapi?
ChattleKiangaza tena!kinapatikana wapi?
Nikafikiri ni kihangaza kwa ukolomije wangu!Chattle
Ivoivo wala hujakoseaNikafikiri ni kihangaza kwa ukolomije wangu!
Sasa hicho labda uanze nifundisha wwe kule PM...Kiangaza
Kuna ujumbe wako huku
Duh hatimaye umerudi jamani nilikumiss mpaka basi karibu kipenziKuna ujumbe wako huku
Ahsante my honey.Duh hatimaye umerudi jamani nilikumiss mpaka basi karibu kipenzi
Tupo laaziz karibu ufurahikeAhsante my honey.
Hii wikiend nimeona sio vibaya nikija kuwasabahi huku jukwaani
Ahsante sana my sweetheart.Tupo laaziz karibu ufurahike
, mara paap nikakuona kwa mbali nikakimbia
hadi nikafika hapa ulipo
Una wateja wengi pm dada yetuHatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
Hatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona

hapo rais yupo sahihi seme nyie shule ndo zero
Kumbe na wao pia wana ubolo wao..