Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

IMG-20171108-WA0049.jpg
 
Hatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
ulijibu Kilugha gani mkuuu?nianze kujifunza 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom