Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,038
- 173,731
Hatari sanaGt twin turbo
Hatari sanaGt twin turbo
Hahaa yote matokeo tu mzee...wakati mwingine ni heri ufe kuliko kuumia vibaya baada ya ajali.Utakutwa mortuary ww
Ile ni surve mana inafungua turbo ndo mana wengi inawaharibia bajeti za mafuta.Brevis kwa long distance inafaa Sana. I'll kwa mizunguko ya mjini uwe vizuri inakula sana mafuta
Niko na Legacy B4 Twin Turbo RSK (Rally Sport Kompressor)...zimetengenezwa kukimbia sio kutembea. Nikiwaga road ukitaka unichefue ni wewe mwenye Brevis au Tezza unisogelee nikuone kwenye side mirror. Niko na aleji na hizo aina mbili niko tayari nipitwe na Duet, March au Vits lakini sio Brevis na Tezza.Inategemea na dereva unayefukuzana nae...mimi nikikamata usukani wa Brevis usijisumbue kunifata nyuma nitakusababishia ajari bure.
Vipi Brevis ikikutana na Teza mkuuUnadanganya watu wazima.
Da Yani Brevis iwe king of the road? Acha utani basiGari zote hapo ulizozitaja baba yao ni huyo Brevis na ndio maana wenyewe wakaipachika jina la utani King of the road na hata ukiitazama tu kuna kitu utakigundua kwa macho.
Ukitaka kupasua engine ya gari yako fukuzana na Brevis safari ndefu uone.
Alisikika yule teja alie chomoa betri akisema
Niko na Legacy B4 Twin Turbo RSK (Rally Sport Kompressor)...zimetengenezwa kukimbia sio kutembea. Nikiwaga road ukitaka unichefue ni wewe mwenye Brevis au Tezza unisogelee nikuone kwenye side mirror. Niko na aleji na hizo aina mbili niko tayari nipitwe na Duet, March au Vits lakini sio Brevis na Tezza.
Da Yani Brevis iwe king of the road? Acha utani basi
Kabisa mkuuJamaa anautani wa ngumi hyu
Hiyo forester yako itashindana na mark 2 gx 90,100 au 110 iliyofungwa injini ya 1jz au 2jz gte?Daahh jmn hizi dharau zilizoenda shule,kiukweli subaru zoteee ni hataree faya,nina mnyama forester XT,safarini sjaona gari la kukimbizana nalo ispokua v8 tu,kwa upande wa toyota
Hiyo forester yako itashindana na mark 2 gx 90,100 au 110 iliyofungwa injini ya 1jz au 2jz gte?
Wadada hampendezi kuendesha crownGari crown tu kwanza nzito then very comfortable
Hebu tumia lugha ya kitaalamu kidogo tukuelewe mkuu,kuiongezea power ndio kuiwekea turbo au umei-tune au umeifanyaje mkuu?Injini yangu nmeiongezea power yaan ukiwa kwny 120k/hr inatembea kma 160km/hr ya hyo mark 2
Swala sio mark 2 hizo injini unazifahamu kweli?Injini yangu nmeiongezea power yaan ukiwa kwny 120k/hr inatembea kma 160km/hr ya hyo mark 2
Vipi ukikutana na Crown Athlete?Niko na Legacy B4 Twin Turbo RSK (Rally Sport Kompressor)...zimetengenezwa kukimbia sio kutembea. Nikiwaga road ukitaka unichefue ni wewe mwenye Brevis au Tezza unisogelee nikuone kwenye side mirror. Niko na aleji na hizo aina mbili niko tayari nipitwe na Duet, March au Vits lakini sio Brevis na Tezza.
Wabongo ni matatizo aisee sometimes ni Bora akae kimya kuliko kujifanya anajuaHebu tumia lugha ya kitaalamu kidogo tukuelewe mkuu,kuiongezea power ndio kuiwekea turbo au umei-tune au umeifanyaje mkuu?
Tuelekeze jinsi ya kuongezea hiyo power na Sisi tukafunge Kwenye magari yetuInjini yangu nmeiongezea power yaan ukiwa kwny 120k/hr inatembea kma 160km/hr ya hyo mark 2
Nataka nitoke kwenye legacy gt twin turbo niingie mazima kwenye tezza,maana mnyama kishaanza kusumbua na kuna dalili zote kua nayo kama ndoa ya kikatoliki au kuikata kata kuiuza kama spareNiko na Legacy B4 Twin Turbo RSK (Rally Sport Kompressor)...zimetengenezwa kukimbia sio kutembea. Nikiwaga road ukitaka unichefue ni wewe mwenye Brevis au Tezza unisogelee nikuone kwenye side mirror. Niko na aleji na hizo aina mbili niko tayari nipitwe na Duet, March au Vits lakini sio Brevis na Tezza.