mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Ulaji wa mafuta wa Verosa ni sawa na Brevis??
Verossa Ya 1g-fe inafanana consumption na cresta/mark 2/chaser
Ulaji wa mafuta wa Verosa ni sawa na Brevis??
Doh mnyama anasumbua nn tena? Mi hata iweje sitatoka Subaru niende Toyota...nikihama Subaru nitaenda Audi.Nataka nitoke kwenye legacy gt twin turbo niingie mazima kwenye tezza,maana mnyama kishaanza kusumbua na kuna dalili zote kua nayo kama ndoa ya kikatoliki au kuikata kata kuiuza kama spare
Bado huwezi tia mguu kwa Brevis bossVipi kuhusu VEROSA mkuu?
Kukimbia kwa gari inategemea na dereva na uwezo wa gari, sasa legacy b4 ina uwezo mkubwa ina nguvu sana (273HP) halafu na mimi huwa sio muoga nikiwa road hasa kama nimeamua kukimbia, na nikiamua kukimbia huwa nahakikisha sipitwi labda Land Cruizer V8 za Govt zile kwenye vibao vya 50 (speed limit) hazipunguzagi mwendo na mimi huwa naheshimu sana vile vibao. So Brevis Tezza Crown kama nikiamua kukimbia haziwezi nifata labda tu nisiwe na mood ya ligi.Vipi ukikutana na Crown Athlete?
nahitaji kujua zaidi uhakika wa hili nataka nunua hiiMkuu chukua mark II grand Gx 110, 2.0L,
2002/2004 Si mbaya
Lita 14.5 kwa kilometers 100. Pia comfortable kinoma
Kukimbia kwa gari inategemea na dereva na uwezo wa gari, sasa legacy b4 ina uwezo mkubwa ina nguvu sana (273HP) halafu na mimi huwa sio muoga nikiwa road hasa kama nimeamua kukimbia, na nikiamua kukimbia huwa nahakikisha sipitwi labda Land Cruizer V8 za Govt zile kwenye vibao vya 50 (speed limit) hazipunguzagi mwendo na mimi huwa naheshimu sana vile vibao. So Brevis Tezza Crown kama nikiamua kukimbia haziwezi nifata labda tu nisiwe na mood ya ligi.View attachment 1191766
mzee una uzoefu na Toyota Supra?Kaulize kwanini watu wanalilia toyota supra 1996/7 mpk leo
Nilishaiendesha ya jamaa mmoja mpenda ma-mbio mara kadhaa pale SA,jamaa kai-tune inatoa hp 650 boss.mzee una uzoefu na Toyota Supra?
hatari sana huyo mnyama SupraNilishaiendesha ya jamaa mmoja mpenda ma-mbio mara kadhaa pale SA,jamaa kai-tune inatoa hp 650 boss.
Imepigwa chata kubwa ikiandikwa Do or Die.