Breaking news:kituo cha mafuta Banana kinataka kuchomwa moto

Serikali inatakiwa kutoa tamko sasa, Si busara kuacha kila raia kuwa na tafsiri yake.
Hata hivyo wengine tunashangaa wauzaji wanapata wapi jeuri na kiburi . Kuacha FFU wapambane na wananchi na kuanza kusema serikali inadhibiti uharifu ni uenda wazimu. Please be pro active.

Hali hii inatakiwa kudhibitiwa sasa na serikali kuchukua hatua immediately na si kusubiri wananchi waimngie barabarani. Hali jijini DSM ni mbaya sana.
Janga la umeme na maruta linaendelea kudumaza uchumi wetu. Tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele.

Kazi inayofanywa na Bunge kuhusu bajeti haisaidii na haitasaidia kama hali hii inaachwa iendelee. Haitoshi kutoa matamko makali yasiyofuatiwa na hatua za dhati kuwashughulikia. Hii ni vita kati ya Matajiri na Serikali. Sisi raia wa kawaida twaumia.

Ikumbukwe pia kwamba katika hali ya namna hii na watu waovu wanapata nafasi nzuri ya kutenda maovu.
 
That is non sense, sasa wanachoma vituo vya mafuta kwa lipi? Kwani hao wenye vituo vya mafuta hawana hoja ya msingi? Wananchi washughulike na serikali na si vituo vya mafuta. Maana hao ni wananchi kama walivyo wao, na wao wanataka wauze mafuta kwa faida na si kwa hasara.
 
wachome tu wanajifanya waislamu wako kwenye mfungo ndo ukiwa kwenye mfungo unatakiwa kwatendea watu mabaya? nasema hivi coz wauza mafuta waliowengi ni waarabu na wahindi na most of them ni muslimu, sijui na sis wakristo tutoe tamko? sis hatuishi kwa matamko ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha BWANA. Jina la Bwana lihimidiwe
 
Wachangiaji asilimia kubwa ni WATZ tipiko, kila mmoja anataka vituo 'vitiwe' moto lakini.... Ni nani mwenye jukumu la kuvitia kibiriti?

Huu sasa ni ujuha!
 
Kuna tetesi kuwa kituo cha mafuta cha banana kinataka kuchomwa moto na
wananchi walio na gadhabu ya mafuta.
Tunaomba walio karibu watupashe zaidi.
Nawasilisha

Tatizo ni JK na sio wauza mafuta. Kuchoma kituo cha mafuta ni kosa la jinai hivyo wananchi wasijaribu wakati the common problem ni poor JK administration.
 
mmmh sasa kama hawataki kuuza mafuta ni bora yatumike kwa haraka yaishe yani kichomwe mto then tujue hakuna mafuta nchini
 
Kukichoma moto siyo suluhisho la tatizo muhimu wajaribu kukaa chini na kujadili njia ya kutatua tatizo na sababu zilizopelekea hapo. Tukisema vichomwe moto tutafika wapi? Matatizo hayatatuliwi kwa gadhabu bali utulivu na makubaliano ya pande mbili. Huyu anayeitwa rais wa nchi yupo wapi? Atoe tamko au alipishe jeshi litawale kwa muda kama anaona amechoka
 
Kukichoma moto siyo suluhisho la tatizo muhimu wajaribu kukaa chini na kujadili njia ya kutatua tatizo na sababu zilizopelekea hapo. Tukisema vichomwe moto tutafika wapi? Matatizo hayatatuliwi kwa gadhabu bali utulivu na makubaliano ya pande mbili. Huyu anayeitwa rais wa nchi yupo wapi? Atoe tamko au alipishe jeshi litawale kwa muda kama anaona amechoka

· If you tremble indignation at every injustice then you are a comrade of mine.
· Let me say, at the risk of seeming ridiculous, that the true revolutionary is guided by great feelings of love.
· I knew that the moment the great governing spirit strikes the blow to divide all humanity into just two opposing factions; I would be on the side of the common people.
· The people liberate themselves.
· The revolution is not an apple that falls when it is ripe. You have to make it fall.
· We must carry the war into every corner the enemy happens to carry it, to his home, to his centers of entertainment: a total war. It is necessary to prevent him from having a moment of peace, a quiet moment outside his barracks or even inside; we must attack him wherever he may be, make him feel like a cornered beast wherever he may move. Then his moral fiber shall begin to decline, but we shall notice how the signs of decadence begin to disappear.
· If they attack, we shall fight to the end. If the rockets had remained, we would have used them all and directed them against the very heart of the Tz, including the palace, in our defense against aggression. But we haven't got them, so we shall fight with what we've got.
· The question is one of fighting the causes and not just the effects. This revolution is bound to fail if it doesn't succeed in reaching deep inside them, stirring them right down to the bone, and giving them back their stature as human beings. Otherwise, what's the use?
· Let's be realistic, demand the impossible!
· One has to grow hard but without ever losing tenderness.
· In a revolution, one triumphs or dies.
· Hatred as an element of the struggle; a relentless hatred of the enemy, impelling us over and beyond the natural limitations that man is heir to and transforming him into an effective, violent, selective and cold killing machine. Our soldiers must be thus; a people without hatred cannot vanquish a brutal enemy.
· It's a sad thing not to have friends, but it is even sadder not to have enemies.
· It is not a matter of wishing success to the victim of aggression, but of sharing his fate; one must accompany him to his death or to victory.
· We cannot be sure of having something to live for unless we are willing to die for it.
· The life of a single human being is worth a million times more than all the property of the richest man on earth.



· I am not Christ or a philanthropist, old lady, I am all the contrary of a Christ.... I fight for the things I believe in, with all the weapons at my disposal and try to leave the other man dead so that I don't get nailed to a cross or any other place.
· In fact, if Christ himself stood in my way, I, like Nietzsche, would not hesitate to squish him like a worm


· After graduation, due to special circumstances and perhaps also to my character, I began to travel throughout Tz, and I became acquainted with all of it. Except for Western Tanzania, I have visited, to some extent, all the other Tanzanian regions. Because of the circumstances in which I traveled, first as a student and later as a DOCTOR, I came into close contact with poverty, hunger and disease; with the inability to treat a child because of lack of money; with the stupefaction provoked by the continual hunger and poverty, to the point that a father can accept the loss of a son as an unimportant accident, as occurs often in the downtrodden classes of our Tanzanians. And I began to realize at that time that there were things that were almost as important to me as becoming a famous or making a significant contribution to medical science: I wanted to help those people. Let us make it comrades!
 
That is non sense, sasa wanachoma vituo vya mafuta kwa lipi? Kwani hao wenye vituo vya mafuta hawana hoja ya msingi? Wananchi washughulike na serikali na si vituo vya mafuta. Maana hao ni wananchi kama walivyo wao, na wao wanataka wauze mafuta kwa faida na si kwa hasara.
<br />
<br />
UR AMONG THAT NONSENSE,MBONA BEI IKIPANDA WAKO NA STOK WANAPANDISHA FASTA BILA KUULIZIA HIZO FAIDA WANAZOZIPATA? ITS PAY BACK TIME,VITUO VILIPULIWE NDO WATIE AKILI!CC NI WATEJA WHY WATUNYANYASE!
 
That is non sense, sasa wanachoma vituo vya mafuta kwa lipi? Kwani hao wenye vituo vya mafuta hawana hoja ya msingi? Wananchi washughulike na serikali na si vituo vya mafuta. Maana hao ni wananchi kama walivyo wao, na wao wanataka wauze mafuta kwa faida na si kwa hasara.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
That is non sense, sasa wanachoma vituo vya mafuta kwa lipi? Kwani hao wenye vituo vya mafuta hawana hoja ya msingi? Wananchi washughulike na serikali na si vituo vya mafuta. Maana hao ni wananchi kama walivyo wao, na wao wanataka wauze mafuta kwa faida na si kwa hasara.
ha ha ha, mzee una kituo? basi kama huuzi mafuta ndugu yangu mpaka kufika asubuhi utakuta majivu tu. watu wameshadata tayari.
 
Naomba mungu waendelee na mgomo mpaka kesho kutwa hivi maana hapo kila mwenye kiakiba kitakuwa kimekwisha ndipo watakapo tutambua....maana hapa Arusha kuna watu bado hawajui kama mafuta ni shida kwasabau wakienda barabarani magari yako daladala zipo lakini kuanzia kesho jioni hivi mziki utaanza
 
Jamani wakichoma tu na sisi tuchome vilivyo karibu yetu kisha tuandamane kuelekea makao makuu ya kila Mkoa/wilaya na wengine Bungeni kuhoji kama wakuu wa mikoa/wilaya na idara husika kama wameshindawa kusimamia sheria na kwamba hawakusikia kauli ya Comrade Zito Kabwe.
 
Back
Top Bottom