Kumbe ushaambiwa Boss...sa mashuhuda wengine wanini tenaIna maana hamna mashuhuda wengine?
Mi nimeambiwa na mtu amepita hapo
Kuna watanzania na vidumu vyao watakuwa mita chache kutoka moto unapowaka, lengo ni kama wataambulia hata lita 1 ya nishati, Mungu tunusuru waja wako!!!Kimara kwenye kona ya kuitafuta stop over
Kuna gari kubwa ya mafuta inawaka moto muda huu
Habari zaidi zinafuata.
Ni Shemeji akoKumbe ushaambiwa Boss...sa mashuhuda wengine wanini tena
Ni Shemeji ako
Nikaona asije akawa ameanzisha tu sababu ya kuchelewa nyumbani...