Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,514
- 6,489
Asee wafanye fasta tumechoka saaana na upmbav wao! Na viongozi pamoja na maponjoro ma v8 yao yako road ss walala hoi tunataabika
Avatar yako kiboko, duh!
Asee wafanye fasta tumechoka saaana na upmbav wao! Na viongozi pamoja na maponjoro ma v8 yao yako road ss walala hoi tunataabika
<br />Avatar yako kiboko, duh!
<br />Tatizo ni JK na sio wauza mafuta. Kuchoma kituo cha mafuta ni kosa la jinai hivyo wananchi wasijaribu wakati the common problem ni poor JK administration.
watu wamechoka sasa, ngoja tuone!
wakiweza najivua uraia wa tanzanaia nahamia moroni!!
<br /><img src="http://resources1.news.com.au/images/2009/09/14/1225772/487629-service-station-fire-pic-david-chan.jpg" border="0" alt="" />
Kuna tetesi kuwa kituo cha mafuta cha banana kinataka kuchomwa moto na
wananchi walio na gadhabu ya mafuta.
Tunaomba walio karibu watupashe zaidi.
Nawasilisha