LEX STEELE
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 224
- 110
hii kitu itakuja kuleta mambo mazito sana huko serikalini
naamini hawa watu wa mafuta wana ushahidi mzito sana wa rushwa EWURA, WIZARA, TPA, TRA na kwingineko
the question is je serikali hii inaweza kuvumilia hizi tuhuma nzito toka kwa hawa watu wa mafuta?
my answer is no they wont stomach any criticisms
naamini hawa watu wa mafuta wana ushahidi mzito sana wa rushwa EWURA, WIZARA, TPA, TRA na kwingineko
the question is je serikali hii inaweza kuvumilia hizi tuhuma nzito toka kwa hawa watu wa mafuta?
my answer is no they wont stomach any criticisms