Petroli yashuka kwa Tsh. 7, Dizeli Tsh. 74 Dar

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za Mafuta zilizoanza kutumika leo Novemba 1, 2023. Dar es Salaam Petroli ni Tsh. 3,274, Dizeli 3,374 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,423.

Tanga, Petroli ni Tsh. 3,274 kutoka 3,327, Dizeli imepanda kutoka 3,494 hadi 3,510, Mafuta ya Taa Tsh. yamepanda hadi Tsh. 3,469 kutoka 2,989. Mtwara, Petroli itauzwa Tsh. 3,347, Dizeli Tsh. 3,546 na Mafuta ya Taa Tsh. yamepanda hadi Tsh. 3,495 kutoka 3,016.

EWURA imesema mabadiliko hayo yanatokana na kupungua kwa Bei ya Mafuta katika Soko la Dunia kwa Wastani wa 5.68% na gharama za uagizaji wa Petroli kwa 13%, Dizeli 25%.
Screenshot_2023-11-01-00-09-46-187_cn.wps.xiaomi.abroad.lite~2.jpg
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za Mafuta zilizoanza kutumika leo Novemba 1, 2023. Dar es Salaam Petroli ni Tsh. 3,274, Dizeli 3,374 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,423.

Tanga, Petroli ni Tsh. 3,274 kutoka 3,327, Dizeli imepanda kutoka 3,494 hadi 3,510, Mafuta ya Taa Tsh. yamepanda hadi Tsh. 3,469 kutoka 2,989. Mtwara, Petroli itauzwa Tsh. 3,347, Dizeli Tsh. 3,546 na Mafuta ya Taa Tsh. yamepanda hadi Tsh. 3,495 kutoka 3,016.

EWURA imesema mabadiliko hayo yanatokana na kupungua kwa Bei ya Mafuta katika Soko la Dunia kwa Wastani wa 5.68% na gharama za uagizaji wa Petroli kwa 13%, Dizeli 25%.
View attachment 2799620
Huchumi sasa hunakwenda vizuli na bei ya mafuta inawakatisha tamaha wananchi. Watu wengi wanafulahia ali ya behi ya mafuta na isitoshe mama tutamupa kula 2025. Iyo aina ubishi. Hukitaka jinyonge. Mushamba nyinyi. Ongela chama tawara.
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za Mafuta zilizoanza kutumika leo Novemba 1, 2023. Dar es Salaam Petroli ni Tsh. 3,274, Dizeli 3,374 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,423.

Tanga, Petroli ni Tsh. 3,274 kutoka 3,327, Dizeli imepanda kutoka 3,494 hadi 3,510, Mafuta ya Taa Tsh. yamepanda hadi Tsh. 3,469 kutoka 2,989. Mtwara, Petroli itauzwa Tsh. 3,347, Dizeli Tsh. 3,546 na Mafuta ya Taa Tsh. yamepanda hadi Tsh. 3,495 kutoka 3,016.

EWURA imesema mabadiliko hayo yanatokana na kupungua kwa Bei ya Mafuta katika Soko la Dunia kwa Wastani wa 5.68% na gharama za uagizaji wa Petroli kwa 13%, Dizeli 25%.
View attachment 2799620
Siasa za kifisadi zimetawala biashara ya mafuta, unapandisha 200 inashusha 7! Eti anaupiga mwingii
 
Huchumi sasa hunakwenda vizuli na bei ya mafuta inawakatisha tamaha wananchi. Watu wengi wanafulahia ali ya behi ya mafuta na isitoshe mama tutamupa kula 2025. Iyo aina ubishi. Hukitaka jinyonge. Mushamba nyinyi. Ongela chama tawara.
Kwa mwandiko huu unakosaje mama kumpa kura.
 
Huchumi sasa hunakwenda vizuli na bei ya mafuta inawakatisha tamaha wananchi. Watu wengi wanafulahia ali ya behi ya mafuta na isitoshe mama tutamupa kula 2025. Iyo aina ubishi. Hukitaka jinyonge. Mushamba nyinyi. Ongela chama tawara.
Umempa mwanao akusaidie kuandika
 
Uchumi wa nchi hii umaendeshwa na watu 10. Wakipigiana simu wanaamua tu kwamba mwezi huu tupunuze bei ya mafuta ili tupandishe mwezi ujao
 
Back
Top Bottom