Boxer HD 150 wanaweza kumpa ubalozi

Boxer HD 150 wanaweza kumpa ubalozi

Natoka na magari SA kila mwezi anasema masaa kumi mbeya dar aisee nikamuuliza na gari gani hizi nazotoka nazo huku kwa kaburu atanikuta daslm na mwendo wangu wa kizee natumia masaa 12 kutoka Lusaka mpaka Nakonde zaidi ya 1000km...
Barabara za South sio za Bongo ujue.. Check ule mkeka wa Mphumanga kwenda Witbank kwa mfano au Joburg to Cape
 
Barabara za South sio za Bongo ujue.. Check ule mkeka wa Mphumanga kwenda Witbank kwa mfano au Joburg to Cape
Nina gari ipo Arusha Legend 50 ya 2023 nilitoka mbeya jioni Alfajiri nipo daslm nilitoka usiku Daslm alfajiri nipo Arusha na mwendo wa kawaida tu 150/km na 160km/h hizo iyovi iyovi nishazizoea sana huko magari makubwa mengi sana bara bara ya Iringa ila nafika mapema tu nikiwa na gari nzuri..
 
Kuna mtu aliwahi kusema, matairi manne yanasafirisha mwili,
Matairi mawili yanasafirisha roho.
 
Kuna mtu aliwahi kusema, matairi manne yanasafirisha mwili,
Matairi mawili yanasafirisha roho.
*matairi manne yanasafirisha mwili,
Matairi mawili yanasafirisha roho.* 🥺🥺🥺🤔
 
Nina gari ipo Arusha Legend 50 ya 2023 nilitoka mbeya jioni Alfajiri nipo daslm nilitoka usiku Daslm alfajiri nipo Arusha na mwendo wa kawaida tu 150/km na 160km/h hizo iyovi iyovi nishazizoea sana huko magari makubwa mengi sana bara bara ya Iringa ila nafika mapema tu nikiwa na gari nzuri..
matairi manne yanasafirisha mwili,
Matairi mawili yanasafirisha roho.
 
Back
Top Bottom