huku serengeti tunaishi nao tu hao wanyamaSimba au chui sianakurukia ghafla...au ikitokea pikipik imepata hitilafu inakuaje pale mbugani...
huku serengeti tunaishi nao tu hao wanyamaSimba au chui sianakurukia ghafla...au ikitokea pikipik imepata hitilafu inakuaje pale mbugani...
Sio kweliHata kwa speed simba akiamua kukufukuza pikipiki haioni ndani
A lion's fastest speed is around 80 km/h (50 mph), but they can only maintain this burst of speed for short distances, typically around 100 meters, relying on powerful fast-twitch muscles for explosive acceleration in ambush hunting.Sio kweli
Yaani ni hatari, kama Kuna hii ya kushindana kunywa pombe,Kuna shombeshombe tulisoma nae alikufa kwaajili ya mashindano ya kunywa pombe,,Kule Mongo la ndege crossroad ya kwenda Ulongoni walikuwa wanafanya betting ya 50K ya kuvuka barabara bila kuangalia kushoto au kulia! Walikufa wengi sana!
Mashindano na ubishani mwingine ni upuuzi mtupu
Kaka zetu waona ni ujanja.Mashindano na ubishani mwingine ni upuuzi mtupu
Ameweza kutembea?Katika hali isiyo ya kawaida kijana "Brown Antony" amevuka kilometer takribani 900 ndani ya masaa 10 kutoka Mbeya-Dar Es Salaam kwa Pikipiki boxer HD 150...
Hii inakuja kutokana na ubishi kuzuka sehemu yao yakazi na kupelekea kuweka shindano la kushinda pikipiki endapo atafanikiwa kufika Dsm ndani ya masaa 10...
Kwa rekodi hiyo ameitangaza vema kampuni inayotengeneza pikipiki za boxer kwenye
Mwendokasi
Umadhubuti
Uimara
Mafuta
Na ya kwamba ni chombo kinachoweza kuaminiwa na kuaminika kwenye barabara za Afrika na miundombinu yake
Kwa wanaojua na kujali marketing dogo bila kufahamu kafanya kitu kikubwa sana.. Na kampuni ya boxer wakiwa werevu wanaweza kumtumia vizuri na kila mmoja akapata na kufaidikaView attachment 3531047
Betting🙌Ni watoto na wadogo zetu
Mkuu nakumbuka Mwaka 2007 niliendesha XRL kutoka Dar hadi Mahenge, nakuambia impact niliyoipata kwenye miguu ilikuwa hatari sana.Ameweza! Umri bado unaruhusu
Kama hajajisunda vizuri miguu atapata hiyo shida piaMkuu nakumbuka Mwaka 2007 niliendesha XRL kutoka Dar hadi Mahenge, nakuambia impact niliyoipata kwenye miguu ilikuwa hatari sana.
Nilishindwa kutembea siku 2.
Upepo uliathiri sana miguu yangu!!
Kaka na wewe umeamini hii kamba?Masaa kumi huyo bwana mdogo katembea aisee sio mchezo..
Nategemea kuona picha za huko walikokua wanakimbia sio hiyo moja tu maana sio ishu ndogo hiyo..Kaka na wewe umeamini hii kamba?