Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,596
- 16,497
Ukisikia akili ndogo ndo hii!Who is GJ Malisa and what are his credentials??? Mbona kama anarukia fani za watu?
Ukisikia akili ndogo ndo hii!Who is GJ Malisa and what are his credentials??? Mbona kama anarukia fani za watu?
hawa ndio wangepigwa risasi tu, maana ndio wanarudisha uchumi nyuma kwa kujikuta wanatetea ujinga![emoji35] [emoji35] [emoji35]Ukisikia akili ndogo ndo hii!
Who is GJ Malisa and what are his credentials??? Mbona kama anarukia fani za watu?[/QUOTE
NI MKWEO
Wapo ila wao wamejikita kumlaumu mtoa hoja huku wakiacha hoja yenyewe.lumumba buku7 humu huwaoni
Mkuu,umenena vyema.Fani ya akina nani, unaijua fani ya Malisa? changia mada iliyopo na sio kujua credentials za mwandishi jibu hoja kwa hoja.
Justify!Ukisikia akili ndogo ndo hii!
Sidhani Kama umesoma yote aliyoandika MALISA naona ulitegemea kuhadithiwa nawee uje kutoa povuKwa hiyo MCHUMI Malisa anataka kutuaminisha Tanzania inaelekea kwenye 'Hyper inflation? Kasomea uchumi chuo gani?
Kwenye currency, maduka ya kubadilisha fedha bei zikoje? Tsh 2500 za 'Bloomberg' ya Malisa & co, au 2,248?
Vijana wadogo mnajikita kwenye siasa za viwango vya chini mkizeeka lazima muwe wachawi.
Imekuwaje unaQuote maandishi yote Kisha unaandika Mstari mmoja tu!Kwani ilishawahi tokea huko nyuma scenario ya hivi?
Shida mnapenda kusifia ujinga!Mkuu pamoja na hoja yako ndefu unajua wakati Rais Magufuli anachukua madaraka mwaka 2015 uchumi wa Tanzania ulikuwa una hali gani na alikuta akiba za fedha za kigeni kiasi gani Benki Kuu.
Kimsingi pamoja na kila hujuma zinazofanywa na baadhi ya Tanzania kwa kutumiwa na vibaraka wa kiuchumi Tanzania itajikwamuua kiuchumi chini ya serikali ya awamu ya tano.
Kwa imani za nchi marafiki kwa serikali ya awamu ya tano wafadhili wanazidisha kutoa missada mingi kwa serikali hiyo ni dalili tosha kuwa serikali ipo kwenye njia sahihi kurekebisha uchumi wa nchi hii.
Nyie kama viongozi wa vyama vya upinzani msifurahie kuona nchi inakwamwishwa katika kujenga uchumi imara. Wekeni uzalendo kwanza badala ya maslahi ya vyama.
Thamani ya fedha ya Tanzania ipo vilevile kama Benki kuu ilivyotangaza nenda maduka ya kuchenji fedha upate uhalisia.
Wajinga ni wale wanao challenge mabadilikoShida mnapenda kusifia ujinga!
Who is GJ Malisa and what are his credentials??? Mbona kama anarukia fani za watu?
Kwa njia sahihi anayefuata Rais Magufuli ndio maana European Union majuzi walitangaza rasmi watamsaidia kufikia 2025 Tanzania inakuwa nchi ya uchumi wa kati. Hili ni pigo kwa watu wa aina yako.Shida mnapenda kusifia ujinga!
Kwahiyo nyie msio challenge mabadiliko ndio welevu, what a comment!Wajinga ni wale wanao challenge mabadiliko