Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,735
- 6,170
Awamu hii inashangaza kwenye kuficha upumbavu, yaani kila kitu kibaya wanataka wakifiche, tatizo lipo badala ya kulisolve wanataka watu waamini kua halipo.
Step ya kwanza kusolve tatizo lolote ni kugundua kua lipo, nani atakaa afoji shilingi kushuka thamani hahaha, atafaidi nini? Exchange imeshuka, ni uchumi tu hakuna kitu kingine.
Step ya kwanza kusolve tatizo lolote ni kugundua kua lipo, nani atakaa afoji shilingi kushuka thamani hahaha, atafaidi nini? Exchange imeshuka, ni uchumi tu hakuna kitu kingine.