Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani.

Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.

Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.

Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha Polisi jamani, hapa nashaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Walio kulana na mabosi, walete, uzoefu.wao.humu bila kujali ni.bosi.wa jinsi ipi.
 
Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani.

Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.

Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.

Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha Polisi jamani, hapa nashaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Nakushauri ujiue
 
Unadhani wewe ndo wa kwanza kutembea na huyo Boss pale kazini kwenu? Wapo wengi tu walishapita nae wakaachane maisha yakaendelea.

Fanya kazi kwa bidii ujiinue kiuchumi acha kuendekeza mambo ya kijinga.
Binti anajipa umiriki usio husikana.
Kakutana na playboy macho juu wenge chovyachovya anahisi anaweza kumdhibiti kwa penzi uchwara!
Haelewi kuna msemo wa "ujana maji ya moto"
Mwenzie bado onja onja yeye anajipa matarajio!
She is aiming big to a wrong person whom is considering her as prostitute.

Watoto wa kike siku hizi wamekuwa rahisi rahisi sana. Na hii yote ni coz they live fake life with abnormal expectations.

Strong and fearless...! my foot! turned to flagile and cowardness!!
 
We mbwa UMETENGWA! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

NIMECHEKA KWA SAUTI KUBWA SANA! NAHISI MAJIRANI WAMENISIKIA, SEMA BAHATI NZURI MAJIRANI WATASHA WA KITURUKI... HAWANA BAYA

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwani uongo😀
 
Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani.

Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.

Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.

Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha Polisi jamani, hapa nashaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Pole sana
Njoo huku na mimi ni boss, ukinambia ntakuekewa tu, arafu uwa sijjelewi kwenye ma luv so tutafanana
 
Exactly! this sounds like speaking from experience!!

Namwonea huruma na wakati huohuo namdharau na ndani yake nachukulia kama ni funzo kwake make seems like too young to match it!!
Wadogo waendelee na tuendelee kupewa/kuwapa ukweli
Makavu kama haya.
One day they will grow cautiously like the way we want us to be like!
huyu s mdogo, wala hakus bikira, boss mtombaji alishakuta shimo liko wazi, sio mwanaume wake wa kwanza kumpenda, na haya sio mapenzi ni wazimu, mwanamke ukiwa mzembe kazini utatombwa sana sana wasichana kama hawa ndio hutufanya tuonekane hatunamaana tukipata kaz mahali lazima tuchanulie watu miguu
 
Boss na mfanyakazi wote vilaza.
Wanatiana hovyo,unafikiri hapo kuna kazi tena...????

Na mimi nasema Tz yetu hatujawahi vamiwa kivita ama kutekwa wala kupambana na maadui na ndo maana tunaishi kimazoea tofauti na nchi za wenzetu.
 
Na unataka uhame ofisi.... yaani kirahisi rahisi tu uhame ofisi, uhamie kwingine. Kumbe ajira zinapatikana kwa urahisi kiasi hicho kwa mabinti Malaya

Huko utapohamia napo kuna mwamba atakuwa anajichapia nyapu bure kabisa! Kisa umemuelewa
Mtaji anao ndo maana kazi kwake simpo
 
Dream Queen alishakwambia hukutak kumsikia haya sasa tambara la deki utachague uendelee kuumia au uache kazi
Screenshot_20230901-074851.jpg
Screenshot_20230901-074851.jpg
Screenshot_20230901-074851.jpg
 
Na unataka uhame ofisi.... yaani kirahisi rahisi tu uhame ofisi, uhamie kwingine. Kumbe ajira zinapatikana kwa urahisi kiasi hicho kwa mabinti Malaya

Huko utapohamia napo kuna mwamba atakuwa anajichapia nyapu bure kabisa! Kisa umemuelewa
Itachakatwa hadi kieleweke....alafu atakuja na ID mpya kutafuta mume aliye serious
 

Ngoja nikae kimya tu.
 
Itachakatwa hadi kieleweke....alafu atakuja na ID mpya kutafuta mume aliye serious
Ndo uone siku hizi vijana wanaoa manungayembe 😂😂😂

Mwanamke kashakunjwa kisawasawa, kila size ya mkuyenge bin mshekel-pin kashaukung'utwa nao, na size ya kipapa imeshavuka vipimo ndo baadae anataka kumbambikia kijana wa watu.... eti "Ooh! Sasa hivi nataka Mume serious tujenge maisha na familia" kipindi vinumula vipo sahihi kwa matumizi ya ndoa hawakutaka kuolewa, wao walikuwa wanavitoa kwa wahuni tu wanavichakata mpaka vimechakaa na vimeshavuka mipaka. Mfano huyo mjinga maisha hapo, yeye anatandikwa tu maofisini humo anaamini sijui ndo ataolewa au ndo jamaa atakolea kwenye kipapa kimoja ambacho hata muda wake wa matumizi ni wa kulazimisha tu ila iko wazi kwamba kishachoka😂

Sasa hivi anataka ahame ofisi, aende kwingine akakitembeze tena kwa vijana wengine huko 😂😂😂

Huko napo yakimkuta ahame kwingine... na malaya upepo wa kazi wanao bana 😂🙌🏾

Vijana wetu wako serious na maisha kutwa wanaomba fursa humu vigogo wanawapotezea... wanakazana na hao Malaya wasio rasmi, wanajiuza maofisini kisirisiri kwa kigezo cha kwamba "Ka-fall in love" kumbe ni indirect way ya kujitangaza biashara yake isiyo na malipo.

Ni mwiko kwa tamaduni zetu mwanamke kuzungumza mambo ya namna hiyo publicly, hata kujitongozesha kwa mwanaume ni mwiko!... kama una dukuduku lako kufa nalo. Bora akuanze kijana. Sio wewe binti kujitongozesha. Itakugharimu tu! (Vijana huwa wana-take advantage) hasa wa kiume

hizi tamaduni mpya zimeharibu sana vijana wetu

Kidini/kiimani tena zote! wanasema mara kumi kama mwanamke amempenda mwanaume amwambie kampenda, anaomba amuoe. (AKIKUKATAA BASI!... ILA KIJANA MWENYEWE ATAHAMAKI NA ATAONA KWELI HUYU BINTI YUKO SERIOUS NA HUENDA NDO MUNGU KANILETEA, KUNA UWEZEKANO MKUBWA WA KUINGIA LINE).... Otherwise ukileta uzungu ndo yaleyale kijana ata-take advantage. Mwisho unaleta Uzi JF. Tena kijana akizingatia mtoto sura ipo, karangi, usafi, kichwani smart, kaelimu kapo, na vibomu vya hovyo kuendekeza shida na njaa hakuna na Tako la haja!... lazima aingie line

Na vijana wetu kwa kupenda matako😂😂😂🙌🏾
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom