Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Muache kujirahisisha kwa maboss zenu mwisho wa siku mnaona kazi chungu.
 
Boss na mfanyakazi wote vilaza.
Wanatiana hovyo,unafikiri hapo kuna kazi tena...????

Na mimi nasema Tz yetu hatujawahi vamiwa kivita ama kutekwa wala kupambana na maadui na ndo maana tunaishi kimazoea tofauti na nchi za wenzetu.

We excuse us Sisi sio vilaza
Mapenzi ndo tumeumbiwa na Mungu
 
huyu s mdogo, wala hakus bikira, boss mtombaji alishakuta shimo liko wazi, sio mwanaume wake wa kwanza kumpenda, na haya sio mapenzi ni wazimu, mwanamke ukiwa mzembe kazini utatombwa sana sana wasichana kama hawa ndio hutufanya tuonekane hatunamaana tukipata kaz mahali lazima tuchanulie watu miguu

Wee nitake radhi Mimi nampenda boss wangu tu na sio kila mwanaume wa hapo ofisini so Usitake kujifanya unanijua sanaa .
 
you are a slut, kitendo cha kukubali kuliwa kizembe bila kujitambua thaman yako huna tofaut namalaya, halaf ulivyo bwege umezama deeply in love na boss wako like real bitch! sikia kama kilivyo cheo cha huyo boss wako kimekaliwa na watu wengi kabla yake na yeye atakiacha, hivyohivyo kwako amekulala alishalala na wengi kabla yako it seems huyo boss ni mtombaji ni kawaida ila kama hutajielwa kama ulivyo wewe lazima uliwe uachwe hivi, unaijua historia yake, what if ni muathirika whatever ukiwmi, homa ya in etc?? umerisk sana maisha yako just for one night stand, amka tunapenda lakini tunajitambua kutombwa mara moja tu ushadata

Ye nimeliwa na ntaendelea kuliwa na boss wangu as much as I need and want the bottom line is that we both are enjoying everything we are doing
 
Mimi ni mwanamke
Sasa anazungumza nao in a way unaona kabisa hapa something is not right Alaf Mimi naishia kuumia tu na kulilia chooni.
Shetani Akuhurumie mbona anakutumikisha sana
Ye nimeliwa na ntaendelea kuliwa na boss wangu as much as I need and want the bottom line is that we both are enjoying everything we are doing
Pepo Toka jf toka Pepo.
 
Being inlove with your boss ni uzinzi Lolzz
Kuwa serious.... Kuna Mapenzi tunayajua hata wewe unayajua afu kuna hizo Fucking games za wewe na Boss wako.
Ushaliwa kimasihara, Option uendelee kuliwa ovyo ovyo au usitishe hiyo safari Kwani Mwanaume ni Boss tu?
 
Kuwa serious.... Kuna Mapenzi tunayajua hata wewe unayajua afu kuna hizo Fucking games za wewe na Boss wako.
Ushaliwa kimasihara, Option uendelee kuliwa ovyo ovyo au usitishe hiyo safari Kwani Mwanaume ni Boss tu?

It’s not a game it’s being inlove, na sijaliwa kimasihara nilitaka mwenyewe
Yes na nitaendelea kuliwa ovyo as u said na Boss wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom