Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,919
Sio rahisi ndyo ila taratibu atazoea.Unafikiri ni rahisi namna hiyo!
Anyway hiyo avatar ni yako![]()
Yangu , imefanyaje😃😃
Sio rahisi ndyo ila taratibu atazoea.Unafikiri ni rahisi namna hiyo!
Anyway hiyo avatar ni yako![]()
🔨Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie
Wewe huyo boss wako anamke? Kama ana mke basi na wewe umetenda kosa la kuwa na mahusiano na mume wa mtu. Hivyo kama alivyokutaka wewe NDIVYO atakavyo wataka na hao. Usiumie Kwa Hilo ila umia Kwa dhambi uliyotenda. Yakupasa utubu. BARAKA ZAKE MUNGU MWENYEZI ZA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU ZIKUSHUKIE NA KUKAA NAWE DAIMA.
Sawa kama ni yako.Sio rahisi ndyo ila taratibu atazoea.
Yangu , imefanyaje![]()
Sawa, me nipoSawa kama ni yako.
Usiwe na haraka Sanaa baadae nikumbushe Kuna Jambo tutateta.
Endelea na kazi tafuta mahusiano mengine jiegeshe kimtindo mahali upate kampani kwa muda flani usioneshe kama unamfia Sana boss fanya kazi kwa nafasi yako, kula vzr, lala kwa wakati & piga ibada
Maisha ni zaidi ya hayo mahusiano
Sikuuupata huo uzi uliomba ushauri juu ya hilo ila kama jamaa ameoa achana nae. Kama kapiga na bado anazingua achana nae. Anakula hao wengine dili na mambo yako punguza kumnyenyekea
Pole sana aisee...achana nae tu kimyakimya![]()
Unadhani wewe ndo wa kwanza kutembea na huyo Boss pale kazini kwenu? Wapo wengi tu walishapita nae wakaachane maisha yakaendelea.
Fanya kazi kwa bidii ujiinue kiuchumi acha kuendekeza mambo ya kijinga.

Fanya kama unampotezea, unavyolialia na kumlaumu mda wote hivyo ndo unampa chance ya kukuumizaMeaning nisimuongeleshe?
Ni boss wangu lakini
Leejay mbona naona kama unafurahia sana hiki kinachoendelea kwa mwenzio...?🙄Sio rahisi ndyo ila taratibu atazoea.
Yangu , imefanyaje😃😃
Wewe ni dume...full stop!Mimi ni mwanamke
Sasa anazungumza nao in a way unaona kabisa hapa something is not right Alaf Mimi naishia kuumia tu na kulilia chooni.
Hapana mkuu😥😥...nataka tu aone kama ni suala la kawaida, asiumie sanaLeejay mbona naona kama unafurahia sana hiki kinachoendelea kwa mwenzio...?🙄
Sasa strong and fearless halafu umepigwa katukio kidogo tu unalia lia kiasi ichoSawaa
How will I handle kuwa nae kwenye same environment jamani![]()
Ni mpitaji ukitaka kumfanya awe wako kubali kuumia kila sikuHajaoa
Thanks for your advice
Nakazia 📌Yuko na wewe sababu unapatokana kirahisi, mda wote anakuona akiwa na genye mshindo anakukula.