BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 4,079
- 8,425
Usisite nijulisha hiyo ni uhakika.Aisee yule Bibi hajafa Shehe wangu, na Jumamosi kuna Dada anaenda kule anayejuana nae ili akaongee na Kijana anayejuana na yule Bibi wakienda kule kwa Bibi na Mimi ndio ni organize watu waende kule. Nakadori kwa kweli ni Dada yangu tu na siwezi kuwa naye kwenye mahusiano hata kwa bahati mbaya au tamaa.
