Kwa hiyo hizo bendera
ni kikwazo sana? Na wewe weka za nchi yako kila mahali hapo ngoma
itakuwa droo
Mpenzi wangu huyu Mkenya na mie ni Mbondei wa muheza, dear wangu huyu tumepishana km mwenzi mmoja hiv umepita, na tatizo lenyewe anataka kupeleka posa nyumbani na mimi nimemkatalia kutokana na matatizo yafuatayo:-
1. TUkiwa chumbani yy ni amri amri tu hadi kuna kucha. Mwitikie "YES SIR"
2. Kuanzia sebuleni kwake, chumbani hadi bafuni katundika bendera ya Kenya. Na wewe weka za kwenu (sijui Burundi, Rwanda, TZ?)
3. Anapenda sana kuniona nimekasirika. Nuna muda mwingi huku ukimwambia "am annoyed"
4. Ukimwomba ushauri juu ya jambo fulani atakwambia fanya unaloona linafaa. So what? Fanya!!
5. Hana muda wa kukaa tushauriane mambo ya maisha na kupiga story za hapa na pale yy
mkikutana ni kucheza segere mwanzo mwisho. Mpe tunda, story zitakuja tu!
6. Ukiwa na matatizo c mtu wa kuonesha ushirikiano au kuguswa na tatizo ulilo nalo. Tatua mwenyewe ebo!
8. Ni mbinafsi anapenda kufanyiwa yy tu vitu vizuri. Mfanyie vizuri atakurudishia vizuri!
Bandugu ni kweli niolewe na mtu wa aina hii wakati kwenye uchumba tu kuna kero km hizo! Binafsi naonelea bora niolewe na mbongo kuliko huyu Mkenya nyie mwanishaurije
Mpenzi wangu huyu Mkenya na mie ni Mbondei wa muheza, dear wangu huyu tumepishana km mwenzi mmoja hiv umepita, na tatizo lenyewe anataka kupeleka posa nyumbani na mimi nimemkatalia kutokana na matatizo yafuatayo:-
1. TUkiwa chumbani yy ni amri amri tu hadi kuna kucha
2. Kuanzia sebuleni kwake, chumbani hadi bafuni katundika bendera ya Kenya
3. Anapenda sana kuniona nimekasirika
4. Ukimwomba ushauri juu ya jambo fulani atakwambia fanya unaloona linafaa
5. Hana muda wa kukaa tushauriane mambo ya maisha na kupiga story za hapa na pale yy
mkikutana ni kucheza segere mwanzo mwisho
6. Ukiwa na matatizo c mtu wa kuonesha ushirikiano au kuguswa na tatizo ulilo nalo
8. Ni mbinafsi anapenda kufanyiwa yy tu vitu vizuri
Bandugu ni kweli niolewe na mtu wa aina hii wakati kwenye uchumba tu kuna kero km hizo! Binafsi naonelea bora niolewe na mbongo kuliko huyu Mkenya nyie mwanishaurije
wewe ndio huyo mkenya au?? wewe unaweza fanya yote hayo??Ushauri upo hapo juu kwenye blue.
Uamuzi ni wa kwako, but mind you, unaweza kupata MBONGO pasua kichwa afadhali hata ya huyo Mkenya!