habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
- Thread starter
- #41
Dah! yani hawo ni kama kabila fulani kwa hapa bongo, humuwezi huyo achana nae..
ndo nabwanga manyanga hivyoo nmkuu
Dah! yani hawo ni kama kabila fulani kwa hapa bongo, humuwezi huyo achana nae..
Kwa hiyo hizo bendera ni kikwazo sana? Na wewe weka za nchi yako kila mahali hapo ngoma itakuwa droo
Pole vipi c nackia hawa wajaluo hakatw mtu hlo nalo vp????????
we diraja lake la kupata uraia na ardhi tu...ila kama unaweza kua kama ufoo una badili hati zote ziwe zako.Mpenzi wangu huyu Mkenya na mie ni Mbondei wa muheza, dear wangu huyu tumepishana km mwenzi mmoja hiv umepita, na tatizo lenyewe anataka kupeleka posa nyumbani na mimi nimemkatalia kutokana na matatizo yafuatayo:-
1. TUkiwa chumbani yy ni amri amri tu hadi kuna kucha
2. Kuanzia sebuleni kwake, chumbani hadi bafuni katundika bendera ya Kenya
3. Anapenda sana kuniona nimekasirika
4. Ukimwomba ushauri juu ya jambo fulani atakwambia fanya unaloona linafaa
5. Hana muda wa kukaa tushauriane mambo ya maisha na kupiga story za hapa na pale yy
mkikutana ni kucheza segere mwanzo mwisho
6. Ukiwa na matatizo c mtu wa kuonesha ushirikiano au kuguswa na tatizo ulilo nalo
8. Ni mbinafsi anapenda kufanyiwa yy tu vitu vizuri
Bandugu ni kweli niolewe na mtu wa aina hii wakati kwenye uchumba tu kuna kero km hizo! Binafsi naonelea bora niolewe na mbongo kuliko huyu Mkenya nyie mwanishaurije
Ndoa haionjwi kama asali, ulianzaje kuishi naye kabla ya ndoa? Kama unavyoona yeye ana mapungufu hata yeye pia yawezekana anaona wewe una mapungufu. Intermarriages kawaida zina matatizo ya kimtazamo. Jambo la kawaida kwa wazigua sio la kawaida kwa wasukuma. Ukienda kitaifa inakuwa mbaya zaidi. Lakini, ''Aonaye mbali nakwao, asipodanganya hudanganywa''
nahisi unaweza kutusaidia maana kuna uzi watu waliuliza ni hipi kati ya iliyokatwa na isiyokatwa ipi ni tamu zaidi?Hawakatwi kweli, ndio maana nimesema bora mbongo kubembeleza anajua, ndani ya 6x6 ndo usipime na hela anatoa
hhaaa hii imenichekesha
. Kuanzia sebuleni kwake, chumbani hadi bafuni katundika bendera ya Kenya
Muhanga? kuna kitu kimejificha nyuma ya hiyo nukuu.
nahisi unaweza kutusaidia maana kuna uzi watu waliuliza ni hipi kati ya iliyokatwa na isiyokatwa ipi ni tamu zaidi?
Naamini utatupa majibu bila ku-take it personal...
mkuu kila mtu yupo kwake pale huwa nafanya kwenda tu,, kinachokiudhi ni kwamba yy yupo tz ana fanya kazi tz sasa bendera ya kenya ya nini
Vyote ni vizuri hakuna cha kukatwa wala kukatishwa hapo
Mmmh si kwel hiv akatw m2 we unaweza kui azam kwel weeweee
nini kui azam hata kui fastjet naweza