ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,368
mbona kamgusa gusa tu hapo, sijaona kama kapigwa aisee, ilitakiwa awe anavuja damu maskioni na puani![]()
Mume kamfumania mkewe club akila bata na Ex wake ambae amerudi kutoka majuu.
Mke alienda kula bata na Ex wake club huku nyumbani kaacha kichanga cha miezi nane.
Mume akatonywa kuhusu mtoko, akamfata mke club na kapiga kiasi hiki mpaka mdada haeleweki sura.
Sawa mdada alikosea, lakini kwa nini asingemwacha tu badala ya kumuumiza hivi?
And what if angemtanguliza mbele za haki, kuwa na murder case na mtoto kukosa wazazi wote wawili?
Bora Kumwacha Mtu Kuliko Kumuumiza..