Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

Yani mtu akudhalilishe halafu useme umuache!!! Atakuona fala siku zote za maisha yako.
 
Amepata dawa anayostahili, ukiwa na mtu asiyejitambua the only solution ni kumfanya ajitambue kidiplomasia, asipojitambua kwa njia "halali" you've go no option but hammer her.

But violence is not the answer.

Huyo mwanamke most likely cheats a whole lot more and that time she just got caught perhaps because she was reckless.

I believe in ‘once a cheater always a cheater’.

Sasa jamaa akimkamata tena atampiga? Na atampiga mara ngapi?

Sioni sababu ya kujiweka katika hali ya kuweza kumpiga mtu namna hiyo maana unaweza hata kumuua na mwishowe ukapata kesi ya mauaji bure.

Limwanamke malaya dawa yake ni kuliacha tu. Hakuna haja ya kupoteza nguvu zako kulipiga. Ni heri nizitunze hizo nguvu ili niweze kumlinda mwanangu kuliko kuzipoteza kwa lijitu linalotombwa tombwa hovyo huko.
 
Umeona wapi nimetetea?, Nimesema ni kweli bidada kakosea lakini kuna adhabu nyingine angeweza kupewa na sio hii.

Sawa baba mtoto aliumia lakini ni vyema kufikiria hali ya mtoto pia in case kitu kibaya kingemtokea mama kutoka adhabu kama hii ya mtu kuchukua sheria mkononi.
Yeyey kwenda kutumbua maraha tena na e-x wake halafu anamuacha Mtoto wa miezi 8 ndani huo ni utahira wa huyo Mwanamke angemcharaza kabisa
 
Hasira zinaweza geuka kuwa hasara.
Angemshtaki kwenye vyombo husika and then angeachana nae. Tena angeweza hata kuwa na full custody ya mtoto kutoka kitendo alichofanya huyu bidada.
Kuliko hivi, halafu mtoto angeweza kukosa wazazi wote wawili.
Vyombo gani vinaruhusu huuu uozo aliofanya huyo Mwanamke unayemtetea.... Alikosea yaani anapigwa halafu anapendeza kwa kuuumka kama kitumbua.. Alitakia amacharaze hasa .. Bwege kabisa
 
Unashangaa ilo????.

Komando X mwenye nyota mbili ,, katoka out na mke wake na rafiki wake ( bwana harusi mdogo )

Heee jamaaa kaenda choon ,, kurudi anakuta Dem na Rafiki wanakulana madenda ....kudadeki ,,, Jamaaa komando alimvunja vunja jamaa ,,wanapeleka hospital ,, Dr anaulizwa Huyu MTU kagongwa nagari yaaina gani ???.

Popote ulipo Komando weee ninomaaa ulitishaaa .
Hahahahaha kongole kwa komando popote huko alipo..
 
husband2.png



Mume kamfumania mkewe club akila bata na Ex wake ambae amerudi kutoka majuu. Mke alienda kula bata na Ex wake club huku nyumbani kaacha kichanga cha miezi nane. Mume akatonywa kuhusu mtoko, akamfata mke club na kapiga kiasi hiki mpaka mdada haeleweki sura.

Sawa mdada alikosea, lakini kwanini asingemwacha tu badala ya kumuumiza hivi? And what if angemtanguliza mbele za haki, kuwa na murder case na mtoto kukosa wazazi wote wawili?

Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza.

Hapo kapiga kwa niaba ya mtoto maana ni mdogo hawezi kupambana....
 
yaani kweli umwache mwanangu wa miezi nane ndani halafu nikuache tu na kaex kako eti mnakula bata?? Nakucharaza zaidi ya huyo

Nakulegeza unarojeka kama tunda kwenye blender ya kukuacha yatafanyika baadae.
Nasapoti kabisa hii hoja yako. Wanawake wengine wamekuwa wanyama kabisa
WTF mtoto angepata madhara nyumbani na kutangulia mbele za haki huku unakula bata na vi x vyako?
tujichunguze upya tuache ungese au drama kwenye ndoa
 
Hasira zinaweza geuka kuwa hasara.
Angemshtaki kwenye vyombo husika and then angeachana nae. Tena angeweza hata kuwa na full custody ya mtoto kutoka kitendo alichofanya huyu bidada.
Kuliko hivi, halafu mtoto angeweza kukosa wazazi wote wawili.
Ha ha ha kibongobongo unaenda dawati la jinsia unashitaki 'mke wangu kamauacha mtoto ndani kaenda kwa mchepuko' hata yule dada wa dawati la jinsia atakuona FALA.
 
Ha ha ha kibongobongo unaenda dawati la jinsia unashitaki 'mke wangu kamauacha mtoto ndani kaenda kwa mchepuko' hata yule dada wa dawati la jinsia atakuona FALA.

 
Ok you are a theorist not a practioner, you match your advice.

Messing up the mother of his child wasn't a solution to what had happened. Damage was already done anyways, and it could've been worse as to what he did to her. It was most for his own ego.
 
Messing up the mother of his child wasn't a solution to what had happened. Damage was already done anyways, and it could've been worse as to what he did to her. It was most for his own ego.
I understand your theory which is promiscuity theory.
 
Back
Top Bottom