Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

Tena angemng'oa meno yote yani huyo dada ni empty set for sure.Yani niache mwanangu wa miezi nane kisa liEx dah alivyopigwa nahisi haitoshi.
 
Tena angemng'oa meno yote yani huyo dada ni empty set for sure.Yani niache mwanangu wa miezi nane kisa liEx dah alivyopigwa nahisi haitoshi.
Ndio upuuzi huo wa kuendelea na ex na wakati mlishaachana. Kwangu mm nikiacha mtu basi ajue anabaki kuwa useless tu hata call yake sitahitaji iwe ya salamu au ya taarifa.
Tubaki kuishi km hatujawahi kuonana, mume wangu ndio kila kitu na ndio wa muhimu sana kwangu.
 
Nimemuangalia vizuri nashangaa hajamngoa meno. Hichi kipigo kidogo sana kulingana na kosa alilo fanya
 
Back
Top Bottom