Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

husband2.png



Mume kamfumania mkewe club akila bata na Ex wake ambae amerudi kutoka majuu. Mke alienda kula bata na Ex wake club huku nyumbani kaacha kichanga cha miezi nane. Mume akatonywa kuhusu mtoko, akamfata mke club na kapiga kiasi hiki mpaka mdada haeleweki sura.

Sawa mdada alikosea, lakini kwanini asingemwacha tu badala ya kumuumiza hivi? And what if angemtanguliza mbele za haki, kuwa na murder case na mtoto kukosa wazazi wote wawili?

Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza.
Bt nothing more it pains than love...Tusichukulie kirahisi sana haya mambo ndugu zangu....Yanaumiza sana haya Mambo hakika. Hakuna mtu anapenda kumpiga tu mke wake ama mpenzi wake aliyempenda mwenyewe...bt huu usaliti ndo unapelekeaga hata kutolewa roho.... Wanawake...tunawapenda sana kuweni na utashi sahihi kwa yale mnayayatenda
 
Malipo ni dhambi ni umauti...
Mke kajitakia mwenyewe, mtoto wa miezi nane kumuacha peke yake, ni zaidi ya mauwaji...
 
Me ningeenda kuwasalimia tu na ningeondoka lakini ndo ungekiwa mwisho wa ndoa, angenilelea mwanangu tu
 
Naunga mkono vitasa mpaka basi
Mia tisa itapendeza zaidi😀😀😀😀
Nilicheka sana kwenye video adi saiv hahaha
yaani kweli umwache mwanangu wa miezi nane ndani halafu nikuache tu na kaex kako eti mnakula bata?? Nakucharaza zaidi ya huyo

Nakulegeza unarojeka kama tunda kwenye blender ya kukuacha yatafanyika baadae.
 
Back
Top Bottom