We Mwanmke mleta huu Uzi utakuwa na matatizo ya Kimahusiano yaani unadiriki kutete ujinga huu.. Yaani Angempiga na kumtoa hata pua Moja... Shenzi type![]()
Mume kamfumania mkewe club akila bata na Ex wake ambae amerudi kutoka majuu.
Mke alienda kula bata na Ex wake club huku nyumbani kaacha kichanga cha miezi nane.
Mume akatonywa kuhusu mtoko, akamfata mke club na kapiga kiasi hiki mpaka mdada haeleweki sura.
Sawa mdada alikosea, lakini kwa nini asingemwacha tu badala ya kumuumiza hivi?
And what if angemtanguliza mbele za haki, kuwa na murder case na mtoto kukosa wazazi wote wawili?
Bora Kumwacha Mtu Kuliko Kumuumiza..
Nitachukua mtoto nipitieSasa sis labda ebu leo nikupime.
huyu mtu utamfanya nini kama wewe ndiye mmewe?

Huyu komando alikamatwa kwa kosa la mauaji yupo ndaniUnashangaa ilo????.
Komando X mwenye nyota mbili ,, katoka out na mke wake na rafiki wake ( bwana harusi mdogo )
Heee jamaaa kaenda choon ,, kurudi anakuta Dem na Rafiki wanakulana madenda ....kudadeki ,,, Jamaaa komando alimvunja vunja jamaa ,,wanapeleka hospital ,, Dr anaulizwa Huyu MTU kagongwa nagari yaaina gani ???.
Popote ulipo Komando weee ninomaaa ulitishaaa .
aseeh mimi nitamlia hadi morii.Nitachukua mtoto nipitie![]()
Kaka tutakuachia laana ,,usipige wamamaaseeh mimi nitamlia hadi morii.
Mtoto wa miezi 8 hata hanijui
Unaamdika ka una sukwa nywele dogo..deliciousyaani kweli umwache mwanangu wa miezi nane ndani halafu nikuache tu na kaex kako eti mnakula bata?? Nakucharaza zaidi ya huyo
Nakulegeza kama kama tunda kwenye blender ya kukuacha yatafanyika baadae.
Aahhhh wale utambiwa wapo ndan kumbe yupo njee ameenda kuongezea ununda.Huyu komando alikamatwa kwa kosa la mauaji yupo ndani
yani aisee mwenyewe uchungu umenijia kwa mtoto tu....hapo angechakaa zaidi na angenieleza mwanangu kamkosea niniyaani kweli umwache mwanangu wa miezi nane ndani halafu nikuache tu na kaex kako eti mnakula bata?? Nakucharaza zaidi ya huyo
Nakulegeza kama kama tunda kwenye blender ya kukuacha yatafanyika baadae.


Mkuuu tembea namadem Lkn sio madem waajeda private au komando. Utaomba poooKama naona alivyokuwa anakunjwa dah![]()
![]()
![]()
Labda mnasahau-gi mbollolooDu Pole yake. ..huwa sielewi kwa X huwa tunasahau nini.