Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 16,827
- 31,366
Damu nzito kuliko siasa za uachama wa vyama.Huyo kasaliti chama kwa kujiunga na CHADEMA , msaliti huyo hatutaki chama vha hovyo huku ..
Damu nzito kuliko siasa za uachama wa vyama.Huyo kasaliti chama kwa kujiunga na CHADEMA , msaliti huyo hatutaki chama vha hovyo huku ..
Na Mabaunsa wa Heche?Chande atakamatwa
Jf chukueni hiyo platinum member hili jamaa limejaza takataka kichwaniAG, DPP na DCI wote wanaweza kuchunguza!
Kama wakimbizi wengine akina bakhresa, asas,mo dewji, waarabu koko wote huu sasa ndio muda mzuri wa kuwarudisha kwao arabuni wametuharibia sana nchi yetu hawa waarabu kokoBongo zozo ni mshamba tu , tena mkimbizi ;akafie mbele huko
Msaliti huyo . aliungana na watesi wetu ..Wanaotutukana si umeona Ulimwengu alisema Mtei hakuwa nswahili , hili ni dongo kwetu ..Tunataka kabisa msifike mbaki makwenu.Damu nzito kuliko siasa za uachama wa vyama.
Uliona wakiropa? Tuondoe na demokrasia ilirudi huko Amerika ili tuishi vizuri bila ya kelele za wanasiasa.Kama wakimbizi wengine akina bakhresa, asas,mo dewji, waarabu koko wote huu sasa ndio muda mzuri wa kuwarudisha kwao arabuni wametuharibia sana nchi yetu hawa waarabu koko
Kwani niliomba kuwa Platinum? Nikusanue Upelelezi bongo unafanywa na NPS na DCIJf chukueni hiyo platinum member hili jamaa limejaza takataka kichwani
Si umesema wakimbizi? Basi tuanze na hao waarabu koko tuwarudishe kwao, si wana kwao hao? Basi warudi kwao maana wao ndio chanzo cha matatizo mengi nchini mwetu, sio Bongo zozo tu hata bakhresa, asas, mo dewji na wapuuzi wengine kama hao warudi arabuniUliona wakiropa? Tuondoe na demokrasia ilirudi huko Amerika ili tuishi vizuri bila ya kelele za wanasiasa.
Warudishe kwani nilikushika mkono ? wenzio wanafanya maendeleo , huyo mlevi anapiga domo .Si umesema wakimbizi? Basi tuanze na hao waarabu koko tuwarudishe kwao, si wana kwao hao? Basi warudi kwao maana wao ndio chanzo cha matatizo mengi nchini mwetu, sio Bongo zozo tu hata bakhresa, asas, mo dewji na wapuuzi wengine kama hao warudi arabuni
Ukiumbuliwa, umbuka na ujusahihishe. Washamba wanapokuumbua basi ujuwe wewe ni zaidi ya mpumbavu.Bongo zozo ni mshamba tu , tena mkimbizi ;akafie mbele huko
Mshamba wewe mjinga, mlitaka mfanye fujo muangalie . Tena bado wachache ,nchi italindwa kwa nguvu zote , hamna faida.Ukiumbuliwa, umbuka na ujusahihishe. Washamba wanapokuumbua basi ujuwe wewe ni zaidi ya mpumbavu.
Tatizo la zuzu asiyeenda shule.Mshamba wewe mjinga, mlitaka mfanye fujo muangalie . Tena bado wachache ,nchi italindwa kwa nguvu zote , hamna faida.
Umasikini wa kujitakia kiakili.Mi naamini watu wengi sana serikalini wana akili. Mbaya ni kua wengi akili zao wanaanzaga kuzitumia wakishatolewa kwenye mfumo