Bongo Zozo awavaa vikali Jaji Chande na Jaji Juma kusema video za Oktoba 29 ni za Gaza! Acheni uongo!

Bongo Zozo awavaa vikali Jaji Chande na Jaji Juma kusema video za Oktoba 29 ni za Gaza! Acheni uongo!

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,834
Reaction score
6,263
Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa na kukasirika baada ya Tume ya Chande kutoa ufafanuzi wa Ripoti yao ya matukio yalitokea Oktoba 29, 2025 kusema video za matukio zilikuwa zimechakachuliwa na zakutengenezwa na nyingine nikutoka Gaza.

Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa akisema ni uongo uongo kabisa huku akihoji Gaza kuna watu weusi?

Soma Pia: Jaji Juma: Kuna Matukio ambayo tuliletewa kama ya Oktoba 29 lakini wataalamu wakaonyesha video zimechakachuliwa ni za Gaza

Hakika Bongo zozo amendelea kuonyesha mapenzi yake kwa Tanzania na ameona haya yanayoendelea hayana nafasi kabisa na awezi kuwa mnafiki au chawa wa serikali hii isiyohalali
 
Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa na kukasirika baada ya Tume ya Chande kutoa ufafanuzi wa Ripoti yao ya matukio yalitokea Oktoba 29, 2025 kusema video za matukio zilikuwa zimechakachuliwa na zakutengenezwa na nyingine nikutoka Gaza.

Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa akisema ni uongo uongo kabisa huku akihoji Gaza kuna watu weusi?

Soma Pia: Jaji Juma: Kuna Matukio ambayo tuliletewa kama ya Oktoba 29 lakini wataalamu wakaonyesha video zimechakachuliwa ni za Gaza

Hakika Bongo zozo amendelea kuonyesha mapenzi yake kwa Tanzania na ameona haya yanayoendelea hayana nafasi kabisa na awezi kuwa mnafiki au chawa wa serikali hii isiyohalali
Wale mazafakas ni majaji wa michongo. What can you expect kama tume ya mchongo ilitumia forensic experts ambao ni watumishi wa hiyo hiyo Serikali inayotuhumiwa kuchinja maelfu ya raia?
 
Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa na kukasirika baada ya Tume ya Chande kutoa ufafanuzi wa Ripoti yao ya matukio yalitokea Oktoba 29, 2025 kusema video za matukio zilikuwa zimechakachuliwa na zakutengenezwa na nyingine nikutoka Gaza.

Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa akisema ni uongo uongo kabisa huku akihoji Gaza kuna watu weusi?

Soma Pia: Jaji Juma: Kuna Matukio ambayo tuliletewa kama ya Oktoba 29 lakini wataalamu wakaonyesha video zimechakachuliwa ni za Gaza

Hakika Bongo zozo amendelea kuonyesha mapenzi yake kwa Tanzania na ameona haya yanayoendelea hayana nafasi kabisa na awezi kuwa mnafiki au chawa wa serikali hii isiyohalali
Kila mtu mwenye akili timamu knows that
 
Back
Top Bottom