Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Kwa hizi PhD za akina Kabudi? Acha nibaki na Masters zangu tu.
 
Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Hivi PhD holder si anayakiwa kuishi falsafa yake ilomuwezesha kuipata hiyo PhD? Au nae anaweza kubadili gia angani bila kuathiri andiko lake (rejea HK na andiko lake vs mwl wake kutompitisha kisa kwenye ground haiishi falsafa yake
I’m curious
 
Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Value ya PhD ni output yake, kama una PhD halafu una akili kama za Kabudi, Muhongo, Mwakyembe, Bashiru, Mkumbo, Shivji na wanaofanana nao kwa nini usichukiwe
 
Masikini wanatamani PHD wakati matajiri wanatamani na wanapigania kumiliki mitaji na makampuni ya biashara za kimataifa.

PhD holder ukiondoa madaktari wa binadamu waliobaki ni masikini kichwani mpaka mfukoni.

Wengi hawajiwezi kiuchumi na wanaishia kuajiriwa na vyuo kwa mshahara wa milioni 2.

Dunia ya leo na Phd yako ya kiswahili wakati mfukoni huna kitu na huwezi hata kujiajiri nani utamtisha?

Hizi PhD za makaratasi ni mfumo mbaya wa elimu za kizungu. Mtu anapewa PhD ya kukariri vitini na makaratasi eti ndio ana akili wakati hana akili ya kutafuta pesa.

Mimi kwangu mmachinga anaejua kupambana bila kuajitiwa mpaka akamiliki biashara ni bora mara alfu kuliko profesa wa chuo kikuu alieajiriwa na anaishi kwa kutegemea mshahara wa serikali.

Ma PhD ya makaratasi hayana mchago kwa taifa zaidi ya kuongeza utegemezi na mzigo kwa taifa.

Kama huna pesa PhD ni utopolo tu. Hapa sizungumzii Phd za afya maana hizi walau tunaona mchango wake kwenye jamii lakini sio hizi za kiswahili.
Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
 
Masikini watakuwa na wivu na PhD. Matajiri wana wivu na pesa.

Mmachinga mpambanaji wa kariakoo ana thamani elfu kuriko PhD holder alieajiriwa na serikali.

Kama huna pesa Phd ni utopolo tu wewe.
Hii iko wazi. Asiye nacho siku zote huwa na wivu na aliye nacho.
 
Phd ni kwa masikini na watoto wa masikini na ndio maana still wote ni masikini na makaratasi yao yao yaliyopewa jina la PHD na wazungu
Nimesoma Nigeria miaka minne (University of Lagos) hakuna PhD anaeombakazi ya udereva. Acha kutunga uongo ili kujifurahisha genge lako la NGUMBARU
 
Mawazo haya ya kujisifia kumiliki makaratasi badala ya pesa ndio maana waswahili mnakufa masikini.

Yaani weee umetundika pumbu juu unajikuna upele wa ukurutu lakini unafuraha kumiliki makaratasi wakati huna hata mradi wa kufuga kuku?

Waafrika bado matako saana yani.
Hata ukiandika kwa kilatini bado hoja yako dhaifu PhD ni daraja kubwa mno na wanaofika pale ni watu wanaofikiri zaidi ya kawaida kwa ufupi ni Magenius tu. Hapa hakuna huruma rudi shule upate PhD kama unafikiri ni rahisi. Hiyo division five yako eti umkosoe PhD. haaaaaaaaa KILA UTAKACHOSEMA WEWE NI MARUDIO TU KWA MWENYE PHD HUNA JIPYA.
 
Wenzako wanatumia muda wao kutafuta pesa we kukariri vitini na makaratasi ya wazungu.
Mwisho unakufa masikini na kuacha kizazi masikini na laana za kimasikini
Utawaweza waswahili kwa wivu hawa.

Ukijionesha tu kwamba una elimu kubwa watakupopoa mpaka utajuta.

Mimi nimetumia robo tatu ya maisha yangu kukaa darasani, na sijuti kabisa.

Nimesoma taaluma zote zilizopo chini ya hili jua. Hii imenifanya nijiamini kuliko shetani.

Kwa kweli kusoma ni raha. Na ni kipaji pia.

Kuna mambo mengi sana ya kujifunza katika hii dunia. Kila siku najifunza kwa kadiri inavyowezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Fikiria unayo halafu hunatofauti na waliokimbia umande,aka wazee wa chimbo,nani atafagilia.Ipo mifano
 
Kuna ndugu yangu mmoja ni PhD holder ninainaga anavypata wakati mgumu tunapokusanyika ndugu kwa ajili ya event za kifamilia.

Hakunaga mtu anakuwaga na muda nae maana ni masikini hana pesa.

Wazee wanahitaji suluhu za pesa sio PHD.

Nawaasa vijana tafuteni pesa mpate heshima. Nina mifano hai pHD wengi ni masikini na tegemezi.
 
Masikini wanatamani PHD wakati matajiri wanatamani na wanapigania kumiliki mitaji na makampuni ya biashara za kimataifa.

PhD holder ukiondoa madaktari wa binadamu waliobaki ni masikini kichwani mpaka mfukoni.

Wengi hawajiwezi kiuchumi na wanaishia kuajiriwa na vyuo kwa mshahara wa milioni 2.

Dunia ya leo na Phd yako ya kiswahili wakati mfukoni huna kitu na huwezi hata kujiajiri nani utamtisha?

Hizi PhD za makaratasi ni mfumo mbaya wa elimu za kizungu. Mtu anapewa PhD ya kukariri vitini na makaratasi eti ndio ana akili wakati hana akili ya kutafuta pesa.

Mimi kwangu mmachinga anaejua kupambana bila kuajitiwa mpaka akamiliki biashara ni bora mara alfu kuliko profesa wa chuo kikuu alieajiriwa na anaishi kwa kutegemea mshahara wa serikali.

Ma PhD ya makaratasi hayana mchago kwa taifa zaidi ya kuongeza utegemezi na mzigo kwa taifa.

Kama huna pesa PhD ni utopolo tu. Hapa sizungumzii Phd za afya maana hizi walau tunaona mchango wake kwenye jamii lakini sio hizi za kiswahili.
Utajiri si kipaombele cha kila mtu. PhD na utajiri havina uhusiano.
 
Kuna mkuu wa mkoa wa Moro(PHD) ya mambo ya food security wkt Magu anaingia alitengua uteuzi wake jamaa likaanza kulia lia eti ooh eti hata yohana alimezwa kwny tumbo la samaki sijui nini nisamehe baba.Matunda ya PHD hayo

PHD-Permanent Head Damage
Yule ni useless!!
 
Back
Top Bottom