Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

PHD za TZ. Ni za kuchukulia cheo tu na si za kubadili hali.
Mpakaka sasa Phd zimeshindwa kumaliza umasikini Tz na Afrika kwa ujumla.
Phd zinafuata mawazo ya darasa la saba mfano bungeni.
Phd hazijaleta mapinduzi ya sayansi na teknolojia hapa TZ.
Phd. Hazijaleta mapinduzi ya kijani.
Phd.hazijaleta mapinduzi ya kifrika uchawi,wizi,husda,uzembe,udaku ndio vimetawala mitaani kwetu.
Phd.hazijaleta fikra za kitajili.
Phd. hazijabadili mfumo wa kikoloni,mambo yapo vilevile kama kipindi cha ukoloni.
PhD.hazijabadili MITAALA YA ELIMU na kuendana na wakati.phd.bado zinaamini simu kwa mwanafunzi zinaleta uhuni na umalaya.
Nimengi sana acha tu!
Wakibadili hayo nitawaheshimu sana PHD.
 
Safi.Walitumwa na baba zao kuja kusoma wao wakawa daily Club na Ubishoo sasa hata vidigrii vyao vipo katika hali mbaya sana .Eti Leo wanalia hoo tunadharauriwa sasa kama inawauma Rudini shule.PHD ni Ulimwengu Mwingine ule.
Mbona wenzetu wazungu hawana huo ujinga wa kujisifu sijui nina master au PhD,tabia hizo tunazo watu weusi,pia nimewahi kufanyakazi USA supervisor wangu alikuwa hana hata degree,kazi anaijua vizuri
 
Labda huko kijijini kwenu ndio PHD bado ni deal.

Nenda Nigeria hapo wenye PHD's wanaombaga mpk kazi za udereva wa malori kwny viwanda vya Dangote,ila sababu exposure yako bado sio kubwa huwezi kuelewa.
Nimesoma Nigeria miaka minne (University of Lagos) hakuna PhD anaeombakazi ya udereva. Acha kutunga uongo ili kujifurahisha genge lako la NGUMBARU
 
Nimesoma Nigeria miaka minne (University of Lagos) hakuna PhD anaeombakazi ya udereva. Acha kutunga uongo ili kujifurahisha genge lako la NGUMBARU
Sababu wewe ni boya na elimu yako ya hapa na pale huwezi kuelewa.

6 PH.D,704 MASTERS HOLDERS AMONG APPLICANTS FOR DRIVERS JOB IN DANGOTE.

ON NOVEMBER 5, 2012 72:00 AMIN NEWS, TOP STORIESBY VANGUARD

LAGOS — The ugly unemployment statistics of Nigeria has been highlighted by the number of applications from higher degree and first degree holders who sought employment as drivers in Dangote group. The staggering figure stands at 13,000.

Of the 13,000 applications received by the Dangote Group for the Graduate Executive Truck Driver, there were six Ph.D, 704 Masters and over 8,460 Bachelor degree holders.

Speaking during the mentor-ship meeting of the World Bank Youth Forum, Chairman of Dangote Group, Aliko Dangote, said that the company only needed 100 drivers, but received the overwhelming applications.

According to Dangote, most of the applicants were from reputable universities and had the needed quality

He said: “All these things are verifiable, and they all graduated from reputable institutions which is satisfactory; and our plan is to eventually make them self dependant.

“Despite the fact that the drivers get trip allowances on each trip along with their salaries, the arrangement is that they will own the trucks at no interests or repayments after they must have reached 300,000 kilometres, which is about 140 trips from Lagos to Kano and a hard working driver can complete in two years, while lazy ones can take maximum of four years.”

Analysts believe that the three tiers of government have not done enough to create employment or create enabling environment for the organised private sector to employ more Nigerians.

In a growing economy, it is rather shocking that Ph.D and Masters degree holders are seeking placement as drivers.

Martin Onyilokwu of Media Development Initiative believes that the revelation is a wake up call for government to go beyond rhetoric and start the implementation of credible programmes to improve the living condition of Nigerians.

He said:“It is no longer enough to claim that the economy is growing by this or that per cent. The truth of the matter is that Nigeria is not witnessing appreciable development. We have a situation where the living standard of the people is at an all time low as exemplified by insecurity, poverty, unemployment, massive corruption, executive and legislative recklessness. There is a need for government to wake up to its responsibility.”

It would be recalled that in the course of last week, thousands of young graduates staged protests at the Ministry of Interior in Abuja when officials denied them access to submit application forms. The ministry has since claimed that no employment was on-going.

Wherever rumour of employment is circulated, thousands of duly qualified candidates turn up to participate.

Source:6 Ph.D, 704 Masters holders among applicants for drivers job in Dangote - Vanguard News
 
PhD ni PhD tu kila fani inamtegemea mwenzake.Wewe lete dharau wenzako wanatengeneza Maisha

Yes wanatengeneza maisha kupitia ajira za udereva na PHD zao.

6 PH.D,704 MASTERS HOLDERS AMONG APPLICANTS FOR DRIVERS JOB IN DANGOTE.

ON NOVEMBER 5, 2012 72:00 AMIN NEWS, TOP STORIESBY VANGUARD

LAGOS — The ugly unemployment statistics of Nigeria has been highlighted by the number of applications from higher degree and first degree holders who sought employment as drivers in Dangote group. The staggering figure stands at 13,000.

Of the 13,000 applications received by the Dangote Group for the Graduate Executive Truck Driver, there were six Ph.D, 704 Masters and over 8,460 Bachelor degree holders.

Speaking during the mentor-ship meeting of the World Bank Youth Forum, Chairman of Dangote Group, Aliko Dangote, said that the company only needed 100 drivers, but received the overwhelming applications.

According to Dangote, most of the applicants were from reputable universities and had the needed quality

He said: “All these things are verifiable, and they all graduated from reputable institutions which is satisfactory; and our plan is to eventually make them self dependant.

“Despite the fact that the drivers get trip allowances on each trip along with their salaries, the arrangement is that they will own the trucks at no interests or repayments after they must have reached 300,000 kilometres, which is about 140 trips from Lagos to Kano and a hard working driver can complete in two years, while lazy ones can take maximum of four years.”

Analysts believe that the three tiers of government have not done enough to create employment or create enabling environment for the organised private sector to employ more Nigerians.

In a growing economy, it is rather shocking that Ph.D and Masters degree holders are seeking placement as drivers.

Martin Onyilokwu of Media Development Initiative believes that the revelation is a wake up call for government to go beyond rhetoric and start the implementation of credible programmes to improve the living condition of Nigerians.

He said:“It is no longer enough to claim that the economy is growing by this or that per cent. The truth of the matter is that Nigeria is not witnessing appreciable development. We have a situation where the living standard of the people is at an all time low as exemplified by insecurity, poverty, unemployment, massive corruption, executive and legislative recklessness. There is a need for government to wake up to its responsibility.”

It would be recalled that in the course of last week, thousands of young graduates staged protests at the Ministry of Interior in Abuja when officials denied them access to submit application forms. The ministry has since claimed that no employment was on-going.

Wherever rumour of employment is circulated, thousands of duly qualified candidates turn up to participate.

Source:6 Ph.D, 704 Masters holders among applicants for drivers job in Dangote - Vanguard News
 
PHD za TZ. Ni za kuchukulia cheo tu na si za kubadili hali.
Mpakaka sasa Phd zimeshindwa kumaliza umasikini Tz na Afrika kwa ujumla.
Phd zinafuata mawazo ya darasa la saba mfano bungeni.
Phd hazijaleta mapinduzi ya sayansi na teknolojia hapa TZ.
Phd. Hazijaleta mapinduzi ya kijani.
Phd.hazijaleta mapinduzi ya kifrika uchawi,wizi,husda,uzembe,udaku ndio vimetawala mitaani kwetu.
Phd.hazijaleta fikra za kitajili.
Phd. hazijabadili mfumo wa kikoloni,mambo yapo vilevile kama kipindi cha ukoloni.
PhD.hazijabadili MITAALA YA ELIMU na kuendana na wakati.phd.bado zinaamini simu kwa mwanafunzi zinaleta uhuni na umalaya.
Nimengi sana acha tu!
Wakibadili hayo nitawaheshimu sana PHD.
 
Sababu wewe ni boya na elimu yako ya hapa na pale huwezi kuelewa.

6 PH.D,704 MASTERS HOLDERS AMONG APPLICANTS FOR DRIVERS JOB IN DANGOTE.

ON NOVEMBER 5, 2012 72:00 AMIN NEWS, TOP STORIESBY VANGUARD

LAGOS — The ugly unemployment statistics of Nigeria has been highlighted by the number of applications from higher degree and first degree holders who sought employment as drivers in Dangote group. The staggering figure stands at 13,000.

Of the 13,000 applications received by the Dangote Group for the Graduate Executive Truck Driver, there were six Ph.D, 704 Masters and over 8,460 Bachelor degree holders.

Speaking during the mentor-ship meeting of the World Bank Youth Forum, Chairman of Dangote Group, Aliko Dangote, said that the company only needed 100 drivers, but received the overwhelming applications.

According to Dangote, most of the applicants were from reputable universities and had the needed quality

He said: “All these things are verifiable, and they all graduated from reputable institutions which is satisfactory; and our plan is to eventually make them self dependant.

“Despite the fact that the drivers get trip allowances on each trip along with their salaries, the arrangement is that they will own the trucks at no interests or repayments after they must have reached 300,000 kilometres, which is about 140 trips from Lagos to Kano and a hard working driver can complete in two years, while lazy ones can take maximum of four years.”

Analysts believe that the three tiers of government have not done enough to create employment or create enabling environment for the organised private sector to employ more Nigerians.

In a growing economy, it is rather shocking that Ph.D and Masters degree holders are seeking placement as drivers.

Martin Onyilokwu of Media Development Initiative believes that the revelation is a wake up call for government to go beyond rhetoric and start the implementation of credible programmes to improve the living condition of Nigerians.

He said:“It is no longer enough to claim that the economy is growing by this or that per cent. The truth of the matter is that Nigeria is not witnessing appreciable development. We have a situation where the living standard of the people is at an all time low as exemplified by insecurity, poverty, unemployment, massive corruption, executive and legislative recklessness. There is a need for government to wake up to its responsibility.”

It would be recalled that in the course of last week, thousands of young graduates staged protests at the Ministry of Interior in Abuja when officials denied them access to submit application forms. The ministry has since claimed that no employment was on-going.

Wherever rumour of employment is circulated, thousands of duly qualified candidates turn up to participate.

Source:6 Ph.D, 704 Masters holders among applicants for drivers job in Dangote - Vanguard News
Haya sasa mwenyewe umeona hiyo ni hoja? Nenda Kwenye Ofisi ya Dangote Tanzania uone Elimu za Madereva wake. PHD daraja lingine wewe kunguru maana hata ujifariji vipi .Hutapa huruma Dawa rudi shule tu nje ya hapo upeo wako bado sana.
 
Labda huko kijijini kwenu ndio PHD bado ni deal.

Nenda Nigeria hapo wenye PHD's wanaombaga mpk kazi za udereva wa malori kwny viwanda vya Dangote,ila sababu exposure yako bado sio kubwa huwezi kuelewa.
PhD gani hapa kwako Tanzania kawa dereva? Acha kudanganywa
 
Hahah kama nakuona vile Mama ulivyopaniki baada ya kuwekewa evidence mezani.

Tena ujue Phd zao sio za magumashi na Dangote mwenyewe anakwambia

'All these things are verifiable, and they all graduated from reputable institutions which is satisfactory.'

Kuna kazi za udereva wa vile vibajaji pale kwa MO kajaribu kuomba ajira za udereva na hio PHD yako hewa,wanaweza kukufikiria mzee baba.,hahah
Haya sasa mwenyewe umeona hiyo ni hoja? Nenda Kwenye Ofisi ya Dangote Tanzania uone Elimu za Madereva wake. PHD daraja lingine wewe kunguru maana hata ujifariji vipi .Hutapa huruma Dawa rudi shule tu nje ya hapo upeo wako bado sana.
 
Hii imekaaje? Yaani ukimbie umande mwenyewe wakati mwenzako kakomaa mpaka kapata PhD halafu unanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Tafakali
IMG_20191118_220840_169.jpeg
 
Back
Top Bottom