Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Bibie Nina masters ya aquatic Science kutoka uholanzi GPA ya 4.3, ningekuwa sipo kwenye kujiwekeza na kufanya mambo ya biashara zaidi sasa hivi ningekuwa na PhD na full scholarships zipo na nazipata daily. Kwahiyo nilichokiandika nakiamini na kukikubali. Mwakyembe ana PhD ya ujinga hawezi kukana somo thesis take kwasababu ya tumbo
Si ungesoma biashara Basi.
 
Waliofeli shuleni ndio huongoza kwa chuki dhidi ya wasomi nakusahau ugumu wa maisha yao wenyewe
Mtu anashindwa kuapa kwa kiswahili. Bado anatetewa Sisi Ngumbaru tuna hasira bila sababu
 
Watanzania hawachukii wenye PhD bali wanachukizwa na matendo na kauli za baadhi ya watu wenye PhD.

"Unataka wanywe mkojo wako" PhD holder
"Mimi nina digrii nne, sina muda wa kuongea na watu kama wewe mlioishia la saba" alisikika mwenye PhD mmoja akisema.
 
Hongereni wenye PhD zenu!!
FB_IMG_16064817206437504.jpg
 
Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Chuki nichukie. Niguse Ninuke.
 
Back
Top Bottom