MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 6,220
- 3,917
Hii hawawezi acha mpaka muanze kuajiri!Tuache chuki
Hii hawawezi acha mpaka muanze kuajiri!Tuache chuki
Kwanini Wahaya na si watu wa makabila mengine??.Wahaya wote tutoe "like" kwenye uzi huu!
We unafikiri ule msemo wa wahaya kupenda sifa ukitoka wapKwanini Wahaya na si watu wa makabila mengine??.
PhD in Tozo AdministrationSame to Mwigulu anachukiwa kisa PhD
Hasa ikiwa PhD yako haina msaada kwa jamii inayokuzunguka na hasa wale wa hali ya chini kama NgwasumaHii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?
Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Kama zile za kuokotwa jalalani, kwanini usichukiwe, kwani zinageuka mzigo na mateso kwa jamii iliyo jaa matatizo yasiyo na ufumbuzi.Hasa ikiwa PhD yako haina msaada kwa jamii inayokuzunguka na hasa wale wa hali ya chini kama Ngwasuma
Kuna PhD na PhD.Wabongo wanataka mwenye PhD awe na mawazo kama yake wa darasa la saba.
Yaani wanataka wafanane mawazo, bila hivyo mara ni msaliti, mara PhD fake au elimu haija msaidia.
Mtu unalazimisha wa PhD awe na mtazamo kama wako wa darasa la 7.
Zipo zile za kuwatesa nakuwanyanyasa watanzania. IPhd pasipo tija ni takataka
Wanachukia MATENDO ya mwenye PHD kwani ni Aibu mzee wa PhD kujipendekeza pendekeza ili Upate mkate wa siku badala ya kutumia PhD yako kupata mkateHii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?
Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Kuhamia nchi jirani siyo phdSame to Mwigulu anachukiwa kisa PhD