Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,098
- 10,609
Ndio nini boss? Mie Nina Master mbili MBA na LLMMalizia Masters ya SUZA!
Ndio nini boss? Mie Nina Master mbili MBA na LLMMalizia Masters ya SUZA!
Wazenji wakati wenu huuNdio nini boss? Mie Nina Master mbili MBA na LLM
Utajiri si kipaombele cha kila mtu. PhD na utajiri havina uhusiano.
Mzee mie na uzenji wapi na wapi?Wazenji wakati wenu huu
Elimu iliyomkomboa mtu,ni kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine, tofauti na hapo elimu inakuwa haijakusaidia zaidi ya kukariri
The same kuwa na PhD na kuwa na std 7, havina uhusiano na utajiri. Siku zote matajiri wakubwa ni wafanya biashara tu.Utajiri si kipaombele cha kila mtu. PhD na utajiri havina uhusiano.
Very narrow minded. Kwani kwa upande wako utajiri unaanzia kiasi gani?Hayo ni maneno ya kimasikini sana wewe.
Dunia ni maisha na maisha ni pesa.
Kumiliki makaratasi eti kisa yanaitwa PHD wakati wenzako wanamiliki pesa ni uhayawani na laana kwa vizazi vyako.
Mi ninaheshimu sana kijana ama mzee yeyoyote mpambanaji anaejua kuipambania shilingi kwa nguvu zake na kupiga hatua kuliko hawa ma profesa sijui Dr masikini wanaotegemea ajira za serikali.
Pumbavu sana ase
Kwani PhD holder hawezi kuwaajiri wengine?Elimu iliyomkomboa mtu,ni kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine, tofauti na hapo elimu inakuwa haijakusaidia zaidi ya kukariri
Tembelea forbesKwani PhD holder hawezi kuwaajiri wengine?
Kwani PhD holder hawezi kufanya kazi chuo na akajiajiri pia, kwasababu anaweza kukopa pesa nyingi tu na anakuwa na free time kubwa Sana.
Hivi ukiwa unaingiza kiasi gani ndiyo unakuwa umefanikuwa?
Unapozungumzia ajira unamaanisha awe amewaajiri watu wangapi na anawalipa kiasi gani, ndipo useme elimu imemuokoa?
Tatizo elimu wanayoipata si ya kutatua tatizo, ndio maana wengi wanategemea kuajiriwa.....bila kuajiriwa wanakuwa na hali ngumu sanaHalafu litakuja jitu limekaririshwa na kujirundikia mikaratasi inayoitwa PhD linajiona la maana wakati linasubiri kuajiriwa na mfukoni halina hata mia.
Nafurahia sana kuona vijana wakipambana mtaani kusaka pesa kuliko haya majamaa hayawezi hata kujiajiri halafu yanaaminishwa eti ni wasomi wana akili kwa kumiliki makaratasi yanaitwa PhD.
Mi kwangu mwenye akili ni yule alieweza kujiajiri na kuajiri wengine.
Kwani PhD holder hawezi kuwaajiri wengine?
Kwani PhD holder hawezi kufanya kazi chuo na akajiajiri pia, kwasababu anaweza kukopa pesa nyingi tu na anakuwa na free time kubwa Sana.
Hivi ukiwa unaingiza kiasi gani ndiyo unakuwa umefanikuwa?
Unapozungumzia ajira unamaanisha awe amewaajiri watu wangapi na anawalipa kiasi gani, ndipo useme elimu imemuokoa?
Very narrow minded. Kwani kwa upande wako utajiri unaanzia kiasi gani?
Mwingine kuwa na PhD ndiyo kupambana kwake ilinkulisha familia. Salary, consultant money, uwezo wa kukopa ili kuanzisha miradi mingine, kufanya kazi zaidi ya chuo kimoja, Kupata vyeo vya kisiasa na kijamii; vyote hivi ni vyanzo vya pesa kwa PhD holder.
Labda uniambie kufanikiwa ni kuwa na pesa kama bakhresa au mo, na uniambie ambao hawana PhD Wote au wengi Wana pesa kama hizo.
Narrow minded people mnashida sana.Kama hayo ndio mawazo yako wewe mwenye PhD ndio maana mnakufa masikini na mnaishi kwa kudharauliwa na wenye pesa.
Yaani weee na hilo likaratasi lako la Phd bado una akili za kuajiriwa chuo kikuu ukafanye kazi ngumu ya ualimu au unaota kuteuliwa vyeo vya kisiasa?
Ndio maana mnadharaulika sana kwa sababu hii maana makaratasi yanawafanya kuwa tegemezi na mzigo kwa jamii.
We unafikiri Musukuma std 7 na we na li karatasi lako la Phd nani anaonekana ana akili kuliko mwingine? Musukuma ana uhuru wa kiuchumi wakati wewe ni mtumwa na anaweza kukuajiri.
Akili ni kumiliki pesa kinyume chake ni ukurutu tu.

Narrow minded people mnashida sana.
Tatizo una inferiority complex na hauna information ya unachosema.
Haya mnyonge![]()
Kwa sababu na nyie mnataka kuajiriwa na sio kutoa ajira, miaka nenda miaka rudi, yaani hamna tofauti na hg.Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?
Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Tuache chukiKwa sababu na nyie mnataka kuajiriwa na sio kutoa ajira, miaka nenda miaka rudi, yaani hamna tofauti na hg.