Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).

View attachment 1696397
Bora usiwe na PHD kama ya Mwigulu utadharaulika sana mkuu.
Jitahidini kua na nidhamu na mawazo mema
 
Elimu bila akili ni buree mzungu kaleta Elimu na mungu kaumba akili wengi wanafikiria kwa kutumia Elimu badala ya akili ambayo inaendana n mazingira halisi
 
Wabongo wanataka mwenye PhD awe na mawazo kama yake wa darasa la saba.

Yaani wanataka wafanane mawazo, bila hivyo mara ni msaliti, mara PhD fake au elimu haija msaidia.

Mtu unalazimisha wa PhD awe na mtazamo kama wako wa darasa la 7.
Ndo uwezo wako wa kuwaza umeishia hapo?

Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom