Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Bongo ukiwa na PhD lazima uchukiwe

Kwa hiyo sisi wenye phd tukajifiche wapi, maana tukijimwambafy kidogo tu watu wanatoa povu hatari
 
Hii imekaaje? Yaani ukimbie umande mwenyewe wakati mwenzako kakomaa mpaka kapata PhD halafu unanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Salaam zimfikie Dr Shika
 
Zanziba 2020 tunakwenda kumpata PhD holder mwingine. Hongera Prof.
 
Mimi sina PhD.
Hebu wakuu niambieni ni mtu gani mwenye PhD ameongea kitu kinacho reflect ana PhD ndani ya bunge la JMT au waziri aliyeonyesha kweli anayo PhD ukiondoa Mh. Makame Mbarawa.
Tafadhali usimtaje Dr. Silaah maana yeye hata ile vow ya celibacy ameikiuka kwa kuoa mke wa mtu
 
Hata ukiandika kwa kilatini bado hoja yako dhaifu PhD ni daraja kubwa mno na wanaofika pale ni watu wanaofikiri zaidi ya kawaida kwa ufupi ni Magenius tu. Hapa hakuna huruma rudi shule upate PhD kama unafikiri ni rahisi. Hiyo division five yako eti umkosoe PhD. haaaaaaaaa KILA UTAKACHOSEMA WEWE NI MARUDIO TU KWA MWENYE PHD HUNA JIPYA.
 
Hata ukiandika kwa kilatini bado hoja yako dhaifu PhD ni daraja kubwa mno na wanaofika pale ni watu wanaofikiri zaidi ya kawaida kwa ufupi ni Magenius tu. Hapa hakuna huruma rudi shule upate PhD kama unafikiri ni rahisi. Hiyo division five yako eti umkosoe PhD. haaaaaaaaa KILA UTAKACHOSEMA WEWE NI MARUDIO TU KWA MWENYE PHD HUNA JIPYA.
Ur very correct Bro
 
Halafu tumebuni faraja kuwa elimu sio kitu, kwamba waliofanikiwa kimaisha ni watu wasiosoma.... na tunayo mifano lukuki kujifariji.

Na kwa wingi wao wajinga watawin this trend, no wonder siku hizi watoto wote wanataka wakuwe dayamondi.... na sio Lipumba...vu.
 
Halafu tumebuni faraja kuwa elimu sio kitu, kwamba waliofanikiwa kimaisha ni watu wasiosoma.... na tunayo mifano lukuki kujifariji.
Watanzania ndio wanashupalia haya ukiwahoji vizuri wanamtaja Mboe kama mfano wao mkuu.
 
Hii imekaaje? Yaani ukimbie umande mwenyewe wakati mwenzako kakomaa mpaka kapata PhD halafu unanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
shida ni magidai ya degree nne rafiki!!
 
Cha ajabu,ngumbaru ina wafuasi wengi mno vyuo vikuu.Graduates wengi sasa hivi huwaambii kitu kuhusu Diamond.
Na nimesikia degree nne inaenda kukesha fiesta tarehe 8 Dec.
Hadi leo tunalazimishwa tuabudu vyeti.Ila niwaambie ukweli ninyi wenye PhD. Fanyeni vitu vya kipihedii!Tutawaheshimu sana.
Mnamuonaje Mesi?Mlushasikia anajitangaza yeye ni mchezaji bora?Si nyie wenyewe mnajipendekeza tu kwake?

Unadhani watu hawamheshimu Askofu Gwajima?Leo hata wewe PhD holder nikuulize,unamchukuliaje prorofesa Lipumba,ukimlinganisha na Millard Ayo?Ungeambiwa na Mungu uchague mmoja kati ya hao awe ndugu yako utamchagua nani?
 
Hii imekaaje? Yaani ukimbie umande mwenyewe wakati mwenzako kakomaa mpaka kapata PhD halafu unanuna?

Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
PHD za wabongo ni sawa na wenye vyeti vya darasa la 7,Eti una PHD unasema uliokotwa jalalani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni kwamba unakua na PhD afu unakua mchumia tumbo huez kusimamia ukwel.

Unakua mlamba miguu wa mwenye PhD za kuhongwa. Wakat wew yako uliikomalia darasana.

Ndo maana wasomi weng wanadharauliwa sana. Wew na PhD yako kwel unakerembeshwa na bashite alieiba vyet had vya la saba.

Assad ndo alikua mtu wa kwanza mwenye Phd zake kuzitumia vizur kbsa tangu nchi hii ianze kuongozwa na dikteta Magu wa Chato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom