Bongo Star Search (BSS) ishawahi kumtoa Star gani hapa Bongo?

Bongo Star Search (BSS) ishawahi kumtoa Star gani hapa Bongo?

Wale watu wanajiona kama Mungu watu kwamba wamebeba hatma ya maisha ya watu 🗑️
Sasa Jaji hajui rhythm ya uzazi

Anaanzaje kujua machaka yetu wa TZ..!

Kuna kiumbe alifall from highest weather even to

I de clere I now heme and he from a known my precious bamboo beee
 
Twendeni taratibu katika kutoa hitimisho la hivi vitu ama takwimu inahitaji akili ambayo sio ya mnemba!, mafanikio huwa hayaangalii kipaji tu bali hata namna unavyoweza kufanya biashara ya kile unachofanya!. Ni wanasayansi wangapi wamekufa maskini huku wakiwa wamevumbua vitu vikubwa mno! Nikola tesla kafa akiwa anaishi guest room lakini ndie alievumbua umeme wa maji,namna yakusafirisha umeme pasipo kutumia waya n.k lakini leo elon musk anakula fedha lukuki kupitia jina Tesla!.
Bongo flavour inawaasisi wake lakini waliokuja kula matunda ya bongo flavour ni kizazi cha hivi karibuni!.

So msiishitaki bongo star search maana wao wakishamaliza kazi yao wao sio wasimamizi wa wasanii kukua kuwa kama diamond ama Rihanna ila ni platform ya mtu kuanzia so swala la ukuaji sidhani kama linawahusu ama wameamua kujihusisha nalo!. Na mafanikio sio tu lazima mtu awe maarifu kumbukeni hilo.
 
Back then nakumbuka Jumanne Idd, Chiku Ketto na Kala Jeremiah. Sijui nani mwingine ashawahi toka recently. Au ni drama tu kama drama nyingine?
Tupo wengi broh! Mimi mwenyewe nimetokea huko. Nilikuwa sikosi kuangalia vipindi vyao! Mpaka marudio yake.
 
Be specifik kumtoa msanii mkubwa kivp
Mos kuna ile mtu ameshiriki amechaguliawa kuingia hatua ya kumi bora zen hajashinda, so watu wanajitokeza wanaweka pesa zao na mtu uyo anakua msanii mkubwa.,so bss inakua km ndo connection iliyomfanya watu wengne kumwona
Na kumsaidia

Na pili ni ile mtu anashiriki anakua mshindi namba moja wa bss si bss inaweka pesa zake na nguvu zake kuhakikisha msanii uyo anakua mkubwa

So kua specifik kumtoa kivp
 
Hao wanaojiita majaji sidhani kama wanaujua huo mziki wenyewe... Hata elimu yao ya mziki ni ya hapa na pale.. Wanaendesha vitu kwa utashi wao binafsi na jinsi watavyompenda muimbaji
Tena Salama ndio kabisaa, yaan yule dada ni hatariii.
 
Back
Top Bottom