Anatunzwa kama yeye ndio yupo kwenye mshiriki wa BSS
hivi anayemwaga hizi pesa ndo papa naniii wajameni
Uwiiiiiiii jamani!Design tu ya suruali bhaaana!
Si ndio maana muziki wetu unadumaa tu, vipaji tunavichukulia poa tu, tumekazanaaa na akina shilole, kiruuuuuuuuu!
Mtengee Uwanja Huo Aisimamie!
Duuh ila yule mtoto mzuri :glasses-nerdy:
Dah kumbe da salaam kuna pesa jamani
Milion 5
imekua show ya bella sasa!Rita sijui kama atamuita tena
imekua show ya bella sasa!Rita sijui kama atamuita tena